Mtakuja kutuua...

Mtakuja kutuua...

Mi huwa nawaza hivi unaolewa tu na mtu hujui alichonacho, what if ana booonge la dude dude la kijeshi dude la kijerumani left hand, au ana kadogoooo kameshatoka kwenye kibamia made in Asia, au hana kabisa!!!
Mi siwezi jamani siwezi cc mtumishi wa BWANA Son of Gamba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kitakuwa kilio cha kusaga meno labla ya kuingi ahera.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kitakuwa kilio cha kusaga meno labla ya kuingi ahera.
Inakua kila siku ni hivi kisa hukutest, no kwakweli
IMG_20180817_153823_201.jpg
 
Hali taiti kwelikweli unataka upewe hela usiitolee jasho pigwa pumb had kukauke kabisa ukiweka tishu inawaka moto
 
Mbavu zangu miyeeeee. Daaaah, hii imenikumbusha kipindi flani nilimfukuzia mtu kitambo ananizungusha huku ananiomba hela, mara vocha. Siku aliyoingia 18 zangu sijui zile nguvu zilitoka wapi, nadhani kama ni jini mahaba basi alikuja double, nilikung'uta mtu akaja kunikimbia akaniacha room bado jembe limesimama.
 
Back
Top Bottom