Mtakuja vunja miguu nyie

Mtakuja vunja miguu nyie

To yeye

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
35,686
Reaction score
86,968
Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti Kimanga mpaka Kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio?

Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple shoes.. Mbona zipo na rahisi kutembelea umbali wowote.

Wanaume nanyi mnaangalia tu,eti? Mi naona hizi mambo tuwaachie wenye usafiri,eti?
 
Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti kimanga mpaka kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio?

Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple shoes.. Mbona zipo na rahisi kutembelea umbali wowote.

Wanaume nanyi mnaangalia tu,eti? Mi naona hizi mambo tuwaachie wenye usafiri,eti?
Aisee kweli walimu waTz ni tatizo jipya linalochipukia
 
Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti kimanga mpaka kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio?

Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple shoes.. Mbona zipo na rahisi kutembelea umbali wowote.

Wanaume nanyi mnaangalia tu,eti? Mi naona hizi mambo tuwaachie wenye usafiri,eti?
😀😀😀😀kimanga kinyerezi sio mbali 😀😀😀kimanga mawenzi tu na sivai high heels😀😀


Ntavaa flat shoes mpaka ziombe pooo au nivae heels nikiwa nimekaa nipigie picha then nivue
 
Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti kimanga mpaka kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio?

Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple shoes.. Mbona zipo na rahisi kutembelea umbali wowote.

Wanaume nanyi mnaangalia tu,eti? Mi naona hizi mambo tuwaachie wenye usafiri,eti?
Aaahaaaaah


Tukisema mtasema tuna nongwa
 
Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti kimanga mpaka kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio?

Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple shoes.. Mbona zipo na rahisi kutembelea umbali wowote.

Wanaume nanyi mnaangalia tu,eti? Mi naona hizi mambo tuwaachie wenye usafiri,eti?
Andunje hao ndo wanaohangaika
 
Back
Top Bottom