Mtalaam wa mifugo

Mtalaam wa mifugo

Mkuu Malila, hicho unachokisema kinaweza kisiwe kweli. Watu wa animal production ni wengi kuliko animal health! Iko hivi,, kule mitaani hata mwenye diploma ya General Agric. naye huwa anajiita mtaalam wa afya ya mifugo, mtu mwenye diploma ya Animal production naye anajiita wa animal health. Ila kwa sasa baada ya vyuo vya mifugo kuwa chini ya wakala wa mafunzo ya mifugo diploma zote mbili zimeunganishwa na kuwa Diploma in Animal Health and Production (DAHP) wakati zamani tulikuwa na DAH pamoja na DAP. Ilikuwa inajulikana tangu zamani kwamba masomo ya DAH ni magumu kuliko ya DAP sasa watu wengi wakawa wanakimbilia huko kwenye DAP kukwepa msala wa DAH (sijui mambo ya anatomy and physiology, biochemistry 1 & 2, systemic anatomy, medicine 1 & 2, meat hygiene and inspection n.k.) na ndo maana hawa jamaa wako wengi kuliko watu wa DAH tofauti na ulivyosema hapo juu. Shida inayochanganya watu kule mitaani ni kule kuwatofautisha hawa jamaa, inakuwa ngumu sana maana kila mmoja anajitahidi kujitambulisha kwamba yeye ni DAH ili apige hela za wafugaji. Ila sisi wenyewe tunajuana!! Pia tangu zamani vyuo vilivyokuwa vinatoa diploma ya animal production vilikuwa vingi kuliko vya animal health (mfano DAP ilikuwa inapatikana Tengeru, Mpwapwa, Morogoro, Madaba na Buhuri) wakati DAH ilikuwa Tengeru na Mpwapwa (kwa idadi kubwa - max 70 per year @), Morogoro na Madaba (idadi ndogo kabisa).
Kuna mtu anaweza akawa kasoma General Agriculture lakini ukakuta kafanya practical nyingi zaidi ya mtu aliyesoma Animal Health. Huyu atapata dili nyingi kuliko wewe unaeajisifia cheti wakati practical ni mweupe.Siku zote mfugaji anataka mnyama wake apone. Km we na vyeti vyako kila ukienda kutibu mnyama haponi usitarajie kuitwa tena. Taratibu utashangaa haupigiwi simu. Mtaani what matters ni performance vyeti vinabaki kwenye begi lako.
 
Kuna mtu anaweza akawa kasoma General Agriculture lakini ukakuta kafanya practical nyingi zaidi ya mtu aliyesoma Animal Health. Huyu atapata dili nyingi kuliko wewe unaeajisifia cheti wakati practical ni mweupe.Siku zote mfugaji anataka mnyama wake apone. Km we na vyeti vyako kila ukienda kutibu mnyama haponi usitarajie kuitwa tena. Taratibu utashangaa haupigiwi simu. Mtaani what matters ni performance vyeti vinabaki kwenye begi lako.
Point [emoji3581]
 
@Malila vipi mkuu issue ya ng'ombe ulifanikiwa
Looh nilianza vizuri, siku moja madogo wakazembea, ng`ombe wakala shamba la mtu mwenye stress zake, aliishia kukata miguu ya ng`ombe wangu. ile picha nikiikumbuka moyo unaumia sana. Ila nimeanza upya, kwa kwenda mbali sana na wakulima, huko akija mtu na kesi za hivi atakuwa ana visa.
 
Looh nilianza vizuri, siku moja madogo wakazembea, ng`ombe wakala shamba la mtu mwenye stress zake, aliishia kukata miguu ya ng`ombe wangu. ile picha nikiikumbuka moyo unaumia sana. Ila nimeanza upya, kwa kwenda mbali sana na wakulima, huko akija mtu na kesi za hivi atakuwa ana visa.
Nimechelewa Sana kuijua jamii forum . Ila nilikuwa kila niki Google vitu naletewa post zako toka jf nimejifunza vingi Sana kwako. Nikipata chance nitakutembelea nijifunze mengi zaidi
 
Mkuu,
Kuna kitu nimekiona mtaani kwa wafugaji wengi, watalaam wa animal production ni wachache sana, wengi ni wa animal health. Na kwa sababu wafugaji hawajui, wanachanganya hawa watalaamu.
Lakin wanfanya kaz znazokarbiana sn, nafkr cha muhim deliverance. Anakupa unachotaka?
 
Nimechelewa Sana kuijua jamii forum . Ila nilikuwa kila niki Google vitu naletewa post zako toka jf nimejifunza vingi Sana kwako. Nikipata chance nitakutembelea nijifunze mengi zaidi
KARIBU MKUU TUCHAPE KAZI.
 
Back
Top Bottom