Mtalaamu wa nyota

Usihangaike na "waosha nyota" wa dunia hii ambao wanakwenda kuichafua au kuiba kabisa nyota yako! Safisha nyota yako kwa Damu ya Yesu Kristo. Ukiwa unaoga chukua maji na jimwagie huku ukisema, Nasafisha nyota yangu kwa Damu ya Yesu Kristo. Rudia angalau mara 3, fanya hivyo kila wakati, sema; Nasafisha mwili wangu, roho na nafsi kwa Damu ya Yesu Kristo... Nasafisha maisha yangu kwa Damu ya Yesu Kristo, naondoa uharibifu wote wa kichawi na kiganga dhidi yangu, kazi yangu, familia yangu, mali zangu, etc. Sema mara nyingi kila wakati. Kama una imani utaona mambo yako yatakuwa sawa na mikosi itaondoka. Endelea kuchapa kazi manake mafanikio ni KAZI NA SALA!
 
Wakuu vipi, natafuta mtaalamu konki anisaidie Kwa swala la usafishaji nyota. Kwa Zanzibar, mbeya au mwanza. Na pia kama una ufahamu wanakokwenda ma-stars kuoshewa nyota zao na kuimarisha mvuto, haswa Zanzibar. Naomba nielekezwe. Sante.
Utatapeliwa wewe.....nakuhurumia utatapeliwa wewe...

ACHA kabisa issue hizi.

NYOTA siku zote huwa inaendana na TAA yako pamoja na TABIA yako.

Hayupo mtaalamu wa kusafisha vyote hivyo isipokua MUNGU pekee .
 
Am not a Christian. Thank you
 
Yesu kristo ndio nani?
 
Hiyo damu haiishi tu au ilipomwagika ilitengeneza kijito?
 
Akatiwa nepi akauawa yaani mungu mkuu kwa maguvu yote tufundishwayo ajidhalilishe vile.
 
Akatiwa nepi akauawa yaani mungu mkuu kwa maguvu yote tufundishwayo ajidhalilishe vile.
Naama alijishusha kabisa kama Maandiko yasemavyo; mpaka akafa mauti ya msalaba…

Mungu ana uwezo wa kuwa kitu chochote. Kama Mungu alijionesha kama upepo, moto, nk kwanini isiwezekane atokee kama binadamu?
 
Wakuu vipi, natafuta mtaalamu konki anisaidie Kwa swala la usafishaji nyota. Kwa Zanzibar, mbeya au mwanza. Na pia kama una ufahamu wanakokwenda ma-stars kuoshewa nyota zao na kuimarisha mvuto, haswa Zanzibar. Naomba nielekezwe. Sante.
S udondoke kojani huko au giningi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…