NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Dunia ina mambo na mahitaji mengi, nafsi ni kitu kipana.Kama una hela unahangaika kusafisha nyota ya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia ina mambo na mahitaji mengi, nafsi ni kitu kipana.Kama una hela unahangaika kusafisha nyota ya nini
Ndy wapi hukoS udondoke kojani huko au giningi mkuu
Kinachokusumbua ni nn, fagia kwakoKama una hela unahangaika kusafisha nyota ya nini
Kinachokusumbua ni nn, fagia kwaKama una hela unahangaika kusafisha nyota ya nini
Watu kama nyie ndio mnaongoza kwa tabia za kijinga ety damu ya yesuUsihangaike na "waosha nyota" wa dunia hii ambao wanakwenda kuichafua au kuiba kabisa nyota yako! Safisha nyota yako kwa Damu ya Yesu Kristo. Ukiwa unaoga chukua maji na jimwagie huku ukisema, Nasafisha nyota yangu kwa Damu ya Yesu Kristo. Rudia angalau mara 3, fanya hivyo kila wakati, sema; Nasafisha mwili wangu, roho na nafsi kwa Damu ya Yesu Kristo... Nasafisha maisha yangu kwa Damu ya Yesu Kristo, naondoa uharibifu wote wa kichawi na kiganga dhidi yangu, kazi yangu, familia yangu, mali zangu, etc. Sema mara nyingi kila wakati. Kama una imani utaona mambo yako yatakuwa sawa na mikosi itaondoka. Endelea kuchapa kazi manake mafanikio ni KAZI NA SALA!
Njoo inboxTwende katoro mkuu kuna chimbo huko ukitoka umetoka kweli
Hiyo damu haiishi tu au ilipomwagika ilitengeneza kijito?
Ndo maana Kuna makanisa, kwanini msiwe mnaanzishaga mada za kidini na injili badala ya kuja kuharibu nyuzi za wenzenu.Unataka nambia huyu hajawahi ona makanisa au misikiti?Mtu anataka wakosha nyota muelekeze kama unajua huwezi nyamaza.Sio kuchimbachimba watu hapa.Unaiona bahari isivyo kuwa na mwisho?
Basi ndio Damu ya Yesu Kristo ilivyo, haina mwisho walahi!
Nafsi imeumbwa napupa ya kukusanya na kuchuma mali, Msingi ya mihangaiko yote hiyo iko katika mali maana mtu anaona akipata mali nyingi basi amepata kila kitu.Dunia ina mambo na mahitaji mengi, nafsi ni kitu kipana.
Pole naona mpaka sasa hujajua kati ya mimi na wewe nani ndo anasumbukaKinachokusumbua ni nn, fagia kwako
Niko huko tayariNjoo inbox
Basi yaishe..Alokwambia Sina hela nani?
Inategemea lakini ya hakika si chini ya dola 1000Nibei Gani mkubwa
Inategemea lakini ya hakika si chini ya dola 1000Nibei Gani mkubwa
Wahitaji watakucheki ni bei nzuriRafiki yangu marasta anasafisha kwa 250
Mbona mnakwenda kwa waganga wa kienyeji kuoshwa na kula mavi ya waganga na maji ya maiti mnakunywa inakuwaje wewe kushindwa kuona ni fahari kuonshwa na Damu ya Mwana wa Mungu Yesu Kristo?!Watu kama nyie ndio mnaongoza kwa tabia za kijinga ety damu ya yesu
Kwahiyo wakati anazaliwa huyo unayemuita mungu DUNIA na sayari nyingine alikuwa anaongoza nani?Yesu Kristo ni Mungu aliyejifunua kwa wanadamu katika umbo la kibinadamu, ni Mungu pamoja nasi. Ndilo Jina tulilopewa kwa ukombozi wetu dhidi ya nguvu za giza. Kwa Jina la Yesu mapepo na majini hukimbia. Liite Jina la Yesu unapokumbwa na mashambulizi ya nguvu za giza utakuwa salama!
Wewe unamwamni Yesu au Mungu?Damu ya Yesu ni Roho ya Yesu Mwenyewe. Haiishi kamwe na ndio raha ya imani kwa Yesu. Uhitaji kununua au kwenda kuitafuta mbali.