Mtalaamu wa nyota

Watu kama nyie ndio mnaongoza kwa tabia za kijinga ety damu ya yesu
 
Unaiona bahari isivyo kuwa na mwisho?
Basi ndio Damu ya Yesu Kristo ilivyo, haina mwisho walahi!
Ndo maana Kuna makanisa, kwanini msiwe mnaanzishaga mada za kidini na injili badala ya kuja kuharibu nyuzi za wenzenu.Unataka nambia huyu hajawahi ona makanisa au misikiti?Mtu anataka wakosha nyota muelekeze kama unajua huwezi nyamaza.Sio kuchimbachimba watu hapa.
 
Kwahiyo wakati anazaliwa huyo unayemuita mungu DUNIA na sayari nyingine alikuwa anaongoza nani?

Au kuna waziri mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…