warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mtalaka wa msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro ' Nora', Luqman Nassoro amesema anasaka wasichana warembo na muonekano mzuri kuanzia sura hadi shepu kwa ajili ya kufanya nao kazi.
Msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Luqman anayemiliki kampuni iitwayo QV, alisema ameamua kuanzisha kundi la sanaa ambalo ni la kisasa kabisa ambalo litakuwa likiandaa filamu mbalimbali zitakazosaidia ajira kwa vijana.
"Kwa sasa nasaka watu ambao naweza kufanya nao kazi za filamu kupitia kampuni yangu na tutakuwa tunatoa filamu zetu, nawasaka wadada wenye muonekano mzuri, hata wababa na watu wazima kwa ajili ya kuendeleza sanaa yetu, " alisema Luqman.
Msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Luqman anayemiliki kampuni iitwayo QV, alisema ameamua kuanzisha kundi la sanaa ambalo ni la kisasa kabisa ambalo litakuwa likiandaa filamu mbalimbali zitakazosaidia ajira kwa vijana.
"Kwa sasa nasaka watu ambao naweza kufanya nao kazi za filamu kupitia kampuni yangu na tutakuwa tunatoa filamu zetu, nawasaka wadada wenye muonekano mzuri, hata wababa na watu wazima kwa ajili ya kuendeleza sanaa yetu, " alisema Luqman.