Mtambue mtu mwenye sifa hizi.

Kawalala93

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2015
Posts
400
Reaction score
1,587
ZIFUTAZO NI DALILI ZA MTU AMBAYE ANAENDESHA GARI YA KUAZIMA (SIO YAKE)
1 Anaendesha kwa speed misele misele kibaoooo.

2 Anashika stelingi na mkono mmoja mwingine nje ya mlango.

3 Kumsalimia kila anayepishana naye hata kama hamjuii.

4 Kwenda na gari kwenye harusi halafu anaipark vibaya ili atangazwe(mwenye gari
namba …..akatoe gari yake).

5 Kutoa kichwa hadi kifua nje wakati wa kurud nyuma wakati side mirrors zipo.

Ongezea nyingine hapo kama unazikumbuka
 
Duh noma sana aisee yani shida zote hizo ili tu aonekane ana gari.
 
lazimz ufunguo uwe na holder na uning'inizwe kiunoni
 
Mkuu unamlenga nani humu JF..?

Mbona nahisi kama UMERUSHA Jiwe gizani..!!

Napita tu...[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Atafungulia mziki kwa sauti ya juu halafu anaacha vioo wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…