OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
mishabiki ya Yanga mengi kelele tu mbele giza,shabiki vitumbua kama Bantu ladywe shuleni mwalimu wako wa hesabu alipatata tabu kweli,
kwa kutumia elimu niliyonayo ngoja nijaribu kukufundisha,
mtu akikwambia 2 mara 3, ni sawa na mtu akikwambia 3 mara 2 umenielewa?
therefore, SIMBA VS COASTAL = COASTAL VS SIMBA.
We ndo hujui unachokisema ukisema simba vs coastal watu wataenda taifa lakin ukisema coastal vs simba wadau watajua ni mkwakwani Tanga. Hio ni tofaut na mahesabu yako
mishabiki ya Yanga mengi kelele tu mbele giza,shabiki vitumbua kama Bantu lady
Mkuu SIMBA VS COASTAL not equal to COASTAL VS SIMBA, considering the hosting situations (home and away fixtures) which are considered to be effective to the beautiful game of football, i can assure you that SIMBA VS COASTAL will never be equal to COASTAL VS SIMBA. lol
Mechi yenyewe haitakuwa na mvuto kwa sababu wanacheza mama simba na watoto wa simba. Mchezo wa kesho kati ya mama na mwana utakuwa wa sare.
youngsharo umenifurahisha sana mkuu, umewamufu peke yako. Safi sana mikia wameangukia pua kabla hata ya mechi. Pole yao
we shuleni mwalimu wako wa hesabu alipatata tabu kweli,
kwa kutumia elimu niliyonayo ngoja nijaribu kukufundisha,
mtu akikwambia 2 mara 3, ni sawa na mtu akikwambia 3 mara 2 umenielewa?
therefore, SIMBA VS COASTAL = COASTAL VS SIMBA.
Soka na masharobaro ni vitu viwili tofauti, umeacha kubana pua studio unakuja kuandika mambo ya uongo humu!Mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kati ya Simba Sports Club na Coastal Union ya jijini Tanga utakaofanyika hapo kesho umekuwa ni mchezo unaosubiriwa kwa hamu hasa kwa upande wa Simba,
ukizingatia kwamba mahasimu wao Dar_es Salaam Young Africa Sc Juzi Walifanya vizuri, hivyo hawana budi kukaza buti ili kuepukana na makelele ya mahasimu wao endapo watafungwa.
Simba ipo katika harakati za kujinasua dhidi ya kushuka daraja kwa kupoteza mwelekeo kwenye mzunguko wa kwanza, wataingia uwanjani wakiwa na kumbukumbu nzuri ya mchezo uliopita baada ya kujinyakulia pointi 3 muhimu kutoka kwa Ruvu Shooting,
Aidha katika mechi ya juzi ya watani wao Yanga waliibuka na ushindi wa bao moja kwa mtungi dhidi ya hao Coastal Union goli lililofungwa na beki mahiri Nadri Haroub Al Maarufu (Canavaro) katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo.
Hivyo Coastal Union hawatokuwa tayari kupoteza mechi mbili mfululizo nyumbani kwake.
wadau tusitumie maneno makali sana .... najua hawa mayanga ni wagumu kuelewa ila tukitumia maneno makali hivyo yenye ukakasi tutaharibu. hawa ni wetu hawa.... sisi tuliwaletea shanga.kule kwetu ni kamba za kufungia ng'ombe. bantu lady amechooooooooooooooooooooooooooooooka. sijui yu wapi. makoye kaka upo?
kwan mi nimetoa thread ya kuwaalika watu waende uwanjani?
..........aungurumapo simba hucheza nani....?????