MTANANGE Simba V/S Coastal Union direct report

Status
Not open for further replies.
Hahaaa diunation unakimbilia maumivu log baki njiakuu yanga ulematunda ya eden
 
Mdau wangu wa nguvu Revocatus Kashaga tupo pamoja sana........macho na masikio ya wapenzi wa soka la ukweli, soka lenye akili, soka la kiufundi, soka la burudani vitahamia pale mjini TANGA waja leo waondoka leo.....kushuhudia mnyama SIMBA anavyokitafuna kitoweo cha Cost Union ndani ya dimba la mkwakwani.......nashauri ambulensi isikae mbali na eneo la tukio kwa maana sio wote wanaweza kuvumilia kushuhudia msiba huu wa kihistoria............VIVA SIMBA SPORTS CLUB................
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa diunation unakimbilia maumivu log baki njiakuu yanga ulematunda ya eden

Ha ha ha ha mkuu nyie timu lenu ni kubutua butua tu hakuna mpira pale ngoja uone mpira unavyochezwa leo nitakutafuta baada ya mechi naomba usi logout.
 
ubwabwa wa kibakuli kidogo hamuuwezi, wa kwenye sinia mtauwezea wapi?
Tangu muwabahatishe wagosi wa kaya goli lenu la kwa babu......mnachonga sana.......dawa yenu ipo jikoni inachemka.......
 
Ha ha ha ha mkuu nyie timu lenu ni kubutua butua tu hakuna mpira pale ngoja uone mpira unavyochezwa leo nitakutafuta baada ya mechi naomba usi logout.
Ushindi wao si mpaka waongee na mwamuzi falagha.......
 
Simba sisi hatubutui hovyo kama yanga.Yanga wanacheza rugby na sio football.Leo ndio siku ya kuangalia mpira wenye burudani
 
Last edited by a moderator:
Simba sisi hatubutui hovyo kama yanga.Yanga wanacheza rugby na sio football.Leo ndio siku ya kuangalia mpira wenye burudani
Kweli mdau....wapenzi wa soka waje waangalie burudani na sio netiball za ndala pale jangwani............
 
Ha ha ha ha mkuu nyie timu lenu ni kubutua butua tu hakuna mpira pale ngoja uone mpira unavyochezwa leo nitakutafuta baada ya mechi naomba usi logout.
Hayampwa kila LA kheri angaliaa tanga hiyooo usijekuta asbh NGUO zikokwenye maji wanasema wanazitakatisha kama zq escrow bk safe
 
Kwahiyo ulipoleta uzi humu JF ulitaka kuufahamisha umma kuhusu mechi ya raundi ya kwanza au ya pili?

kwan hujaona mwisho nilivyomalizia kwamba coastal hatokubali kufungwa mara mbili mfululizo nyumbani kwake?
 

hapo nakiri bro kuna mistake
 
Hayampwa kila LA kheri angaliaa tanga hiyooo usijekuta asbh NGUO zikokwenye maji wanasema wanazitakatisha kama zq escrow bk safe
Mkuu hapa nilipo nina presha na mechi ila najua tutashinda japo wagosi watabana sana baada ya kupoteza mechi iliyopita.
 

hata coastal union nao wana move from their home to the stadium jombaa, kwan wanalala uwanjani wale?
hivyo nao ni VISITORS.
 
mikia msipanic,mpira ukiisha kila mtu aongozane na mwenzake mpk hme mambo ya kuzimia na kulala huku mmesimama/kuipita nyumba yako kuingia ya jiran hatutak tena

Huwaga wanasahau hata vyumba vya kubadilishia nguo.
 
Tupo pamoja Sana FT Simba 3 coastal 0! Point 3 goli 3
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naogopakukwambia ila jipe moyo mtashinda chezeni vyema namabeki amkosi mbili!!awana wafadhiliwa maana sikuhizi so vilakilaki kwa mabeki amkosi bao 2 kusafsha nyota
 
Mkuu naogopakukwambia ila jipe moyo mtashinda chezeni vyema namabeki amkosi mbili!!awana wafadhiliwa maana sikuhizi so vilakilaki kwa mabeki amkosi bao 2 kusafsha nyota

Tuliza boli, mpira siku hizi uwanjani!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…