Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Simba wacheza kinyonge kweli kweli adi huruma
 
Simba wasisahau kuja na Tende,kule Congo walirudi na Vumbi la Congo
 
Mpaka nasikia huruma kwa jinsi mechi inavyoendelea
 
Simba wanacheza mpira wa kariakoo, wanatumia akili ndogo ni pu-pu
 
Back
Top Bottom