Waarabu wapo fair nasikia wamemwambia refa, zile goli tano wamefuta kipindi cha pili wanaanza kuhesabu upyaaaaaaaaaaaaaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Hahahaaa! Ila nina jambo mujarabu kabisa nataka nimwambie. Nisaidie nionane naye! Ahlan Wasahlan.Hahahaha, sitaki lawama ,mtafute mwenyewe Mkuu, Leo hasa muda huu sio mzuri kwa shangazi Shunie
Sent using Jamii Forums mobile app
Masoud Djuma aligombana nae kwa sababu hajui mpira viongozi wa Simba wakamfukuzaBado najiuliza huyu kocha anafundisha nn yan mazoezin yan sipati majib kabsa
Mbona unateseka, kwani yanga ndio wanacheza?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani hapa anaona mechi ikiisha Yanga mnakabidhiwa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika maana sio kwa jinsi nmavyoshadadia.
Moja - Wahed Mbili - Ithnan Tatu - Thalatha Nne - Arba Tano - Khamsa
Mkuu mpira dakika 90 lakiniWhich Simba are u talking about, may be undercat..
Sasa kama sio yanga anaecheza mnawashwawashwa nini kushadadia mambo yasiyowahusu?Mbona unateseka, kwani yanga ndio wanacheza?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mtupu!Hawa jamaa tuko tofauti nao labisa. Ni mbingu na ardhi.
Haiwezekani first eleven ikafungwa na bandari ya kenya alafu tuote kuifunga al ahly. Hata walija hapa kwetu watatupiga bakora hii hii.
Tukubali tu kiwa simba tunacheza sana mpira magazetini. Kina mkude tunawaremba sana. Hiki kikosi ni Okwi pekee ndiye wa kumkubali. Kina chama watazitesa ndanda.