Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Yaani hapa kitaa midaa hiii ni full shangwe, simba inatupaaa burudani kweli kweli
 
Shehat peke yake wa Alhly ana thamani ya 10 Billion wakati Kikosi Cha simba chote Pamoja na kina Manara Pamoja Na Ufisadi wote wa 10% wakati wa Usajili thamani yake Ni 1 billion
 
Mimi naangalia channel wanayotangaza kiarabu raha sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
í ½í¸í ½í¸í ½í¸ Bado moja mtoto atumwe dukani kununua pakti la tatu
 
Ukweli mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…