Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Kama unaangalia mpira na shabiki/mashabiki wa Simba kuwa makini, ukifanya kama unajikuna kitakachokupata tutakuletea uji MOI!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
😎😎Bado kimoja cha mama mkanye mwanao😎😎😎😎
 
dk 15 za kipindi cha pili tumekazaa
 
Waarabu wapo fair nasikia wamemwambia refa, zile goli tano wamefuta kipindi cha pili wanaanza kuhesabu upyaaaaaaaaaaaaaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yaani bado una nguvu hata ya kuongea ..hahaa mhh mkuu una roho ngumu

Ama kweli simba sio baba yako wala mama yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba ndio team ya kwanza kufungwa tano kwani?

Tatizo mivyura mingi hapa ni malimbukeni hata mpira hawajui ndio maana wamefurika hapa hata hawatuachii nafasi sisi wana simba tukafanya tactical analysis ya team yetu.

Wanafanya spamming tu kutujazia nzi hapa.


Tokeniii vyuraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…