Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Simba ndio team ya kwanza kufungwa tano kwani?

Tatizo mivyura mingi hapa ni malimbukeni hata mpira hawajui ndio maana wamefurika hapa hata hawatuachii nafasi sisi wana simba tukafanya tactical analysis ya team yetu.

Wanafanya spamming tu kutujazia nzi hapa.


Tokeniii vyuraaa
Hahaa My ribs ...Ngoja waje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ndio team ya kwanza kufungwa tano kwani?

Tatizo mivyura mingi hapa ni malimbukeni hata mpira hawajui ndio maana wamefurika hapa hata hawatuachii nafasi sisi wana simba tukafanya tactical analysis ya team yetu.

Wanafanya spamming tu kutujazia nzi hapa.


Tokeniii vyuraaa

Timu ya kwanza kupigwa tano mara mbili mfululizo duniani
 
Na 16/02 hata waloge vipi.. Vyura hasira zetu tunazimalizia kwao.

Wewe badala uwaze aibu ya Dunia nzima unawazia Yanga tu, mbumbumbu FC.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmmm
Screenshot_2019-02-02-23-23-04.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Refa kaamua kuzipunguza, tuta la wazi refa kaamua kuuchuna.
 
Back
Top Bottom