Hahaa My ribs ...Ngoja wajeSimba ndio team ya kwanza kufungwa tano kwani?
Tatizo mivyura mingi hapa ni malimbukeni hata mpira hawajui ndio maana wamefurika hapa hata hawatuachii nafasi sisi wana simba tukafanya tactical analysis ya team yetu.
Wanafanya spamming tu kutujazia nzi hapa.
Tokeniii vyuraaa
Mkuu tuna matatizo makubwa Sana kuliko tunavyodhani.
Simba ndio team ya kwanza kufungwa tano kwani?
Tatizo mivyura mingi hapa ni malimbukeni hata mpira hawajui ndio maana wamefurika hapa hata hawatuachii nafasi sisi wana simba tukafanya tactical analysis ya team yetu.
Wanafanya spamming tu kutujazia nzi hapa.
Tokeniii vyuraaa
Mkuu tuna matatizo makubwa Sana kuliko tunavyodhani.
Hiyo yakwako ambayo haijawahi kupigwa tano iko wapi? [emoji23][emoji23]Timu ya kwanza kupigwa tano mara mbili mfululizo duniani
Na 16/02 hata waloge vipi.. Vyura hasira zetu tunazimalizia kwao.
Hiyo yakwako ambayo haijawahi kupigwa tano iko wapi? [emoji23][emoji23]
Haya maneno yako. NomaaaBinti utapata stress bure mwisho usizione cku zako bure
[emoji375][emoji375]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Nimempata kimanzi kanibadilisha dini mpaka jina nimrerudi OGBablai mbona jina inabadilika kama carmouflage?
Hahaa zitakuwa zimekwenda wapi !? Mpaka asizioneBinti utapata stress bure mwisho usizione cku zako bure
[emoji375][emoji375]
Sasa kama sio yanga anaecheza mnawashwawashwa nini kushadadia mambo yasiyowahusu?
Mwaka huu Yanga Mabingwa ila kwa wachezaji hao ni yale yale Mashindano haya ni Magumu sana.Yanga ya Kimataifa ilikua vizuri kuliko simba sc kabisaa hilo halina ubishi