Simba pakini tu Lori la mchanga Waarabu watakuja kukutana kiama cha 34° huku na tutawafanyia figisu la kucheza saa 7 mchana
Ligi gani?Inaongoza ligi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Nimempata kimanzi kanibadilisha dini mpaka jina nimrerudi OG
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel kabsa viongoz nao inabid wajitathimi sasaMasoud Djuma aligombana nae kwa sababu hajui mpira viongozi wa Simba wakamfukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua eneo mechi inapochezwa kuna kiwango gani cha joto?Sasa Mkuu huko kwao joto si ndio kwao? Yani unamtishia Muarabu joto? Kuwa serious bhana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe badala uwaze aibu ya Dunia nzima unawazia Yanga tu, mbumbumbu FC.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Namimi pia sijacatch feelings najua ni banter na muosha huoshwa [emoji28][emoji23]Mkuu ni utani,,,,,,,,,hata nao walipokuwa wanapatwa na haya yanayotupata tuliwatania sana.........ni sehemu ya kuondolewa stress za maisha....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alexendria ni bard kama makambako wakija hap tuwachezeshe saa 9 hawa au saa 8 kabisaSasa Mkuu huko kwao joto si ndio kwao? Yani unamtishia Muarabu joto? Kuwa serious bhana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha ha
Hamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.