Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Halafu kocha anafanya nini mpaka sasa? Hata sub moja? Ina maana makosa yote haya hayaoni?

Seriously nimekasirika mno, ingekuwa Yanga ndio inacheza leo ningepata hasara ya TV.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii mechi ni aibu tupu! Simba hamna timu pale wale ni wala bata
 
Salaam wanasimba wenzangu,
Kwa kifupi tv nimeshindwa kuangalia kutokana na hali ya mchezo, ingawa ni mapema sana. In short tumeelekea kibla japokuwa kwenye mpira lolote lawezekana.
Ushauri wangu Kwa wanasimba wenzangu ni kuwa na subira, tunapitia kipindi kigumu.....tutafika!!
This is (not) Simba

N.b....mabeki hatuna!!!
 
Walevi leo wanakipata cha moto

[emoji375][emoji375]
 
hahahaha eti kiboko ya waarabu hahahahaha 5-0 na bado zikifka 12 itakuwa powa
 
Natamani kuwachoma Moto watu wote mnaocomment kwenye huu uzi.

Daaaaaah.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom