Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Kiuhalisia Tanzania Bado uwezo wetu upo chini Sanaa,, lakin mashibiki wa Simba au yang ukiwaambia ukweli hawaelewi,, itachukua mda mrefu sana kuweza kufika level za kuleta ushindani,,ujanja ujanja, siasa ujuaji usio Na maana,ushabiki wa kipumbavu ambao hauna tija hautatusaidia mpira sio maneno tuu,,,
Mpira wa tz .. ni wakwenye media ..kwenye performance huwa hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika Usajili wa Klabu ya Simba sio wa Mashindano Makubwa kama haya ya Klabu Bingwa Afrika.Kama kweli Mwekezaji wa Klabu ya Simba Mohamed Dewji anataka Klabu yake ifanye vizuri basi sio kwa Wachezaji hawa.Kwa walioangalia mchezo wa Simba na Al hary atakubaliana nami kuwa Safu ya ulinzi wa timu hiyo ni mbovu kabisa .Wachezaji hawa kwa uwezo wao ni kwa Local Matches za ndani kwa maana ya Ligi Kuu , uwezo wao ni wa kucheza na Yanga, Ndanda na Stend United.Naushauri Uongozi wa Simba ifanye mabadiliko makubwa kwa wachezaji wake itafute wachezaji wenye uzoevu mkubwa na pia Kocha mkuu nae naona uwezo wake umefika mwisho.Mwisho namshauri Mtaani wetu kwa kuwa mwaka 2019 yeye ndio Bingwa basi ajipange vilivyo kwani wachezaji kama Boban Fey Toto hamna kitu kwa Mashindano haya ni magumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia Tanzania Bado uwezo wetu upo chini Sanaa,, lakin mashibiki wa Simba au yang ukiwaambia ukweli hawaelewi,, itachukua mda mrefu sana kuweza kufika level za kuleta ushindani,,ujanja ujanja, siasa ujuaji usio Na maana,ushabiki wa kipumbavu ambao hauna tija hautatusaidia mpira sio maneno tuu,,,
Simba ikiongozwa na ushabiki ujinga wa yule mzungu.
Nafikiri sasa ni wakati muhimu atulie na atimize majukumu yake ya habari na sio kipiga domo.
 
sema aishi manura bado ana khali ya kimchezo naona anaokota mpira haraka haraka akiamini watarudisha hahahaha kumbe anawahisha kipigo
 
Kiuhalisia Tanzania Bado uwezo wetu upo chini Sanaa,, lakin mashibiki wa Simba au yang ukiwaambia ukweli hawaelewi,, itachukua mda mrefu sana kuweza kufika level za kuleta ushindani,,ujanja ujanja, siasa ujuaji usio Na maana,ushabiki wa kipumbavu ambao hauna tija hautatusaidia mpira sio maneno tuu,,,
Simba ina foreigners wangapi walioanza mechi hii? Ukisema mpira wa bongo bado sana maana yake hata hao wageni wanachezea simba ni watz ambao uwezo wao upo chini sana[emoji39][emoji39][emoji39]
Poleni wana simba, poleni Tanzania.
 
Back
Top Bottom