Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani nilikuwa naendaga Kilimanjaro hotel naagiza kahawa nafanya download zangu zote za kufa mtu kupitia free WiFi yao.Habar wadau nimekwama hapa
Kuna file lima 60 GB nataka kulidownload halotel 1500 unapata GB 5
Total 18000
Wapi nafuu niende
Habar wadau nimekwama hapa
Kuna file lima 60 GB nataka kulidownload halotel 1500 unapata GB 5
Total 18000
Wapi nafuu niende
Tuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja, jiunge Tam tam plus kwa kupiga *150*71#Habar wadau nimekwama hapa
Kuna file lima 60 GB nataka kulidownload halotel 1500 unapata GB 5
Total 18000
Wapi nafuu niende
rudisheni cha usiku kileTuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja, jiunge Tam tam plus kwa kupiga *150*71#
Karibu sana
Naunga mkono hoja.rudisheni cha usiku kile
Nyiny ndio hamna kitu zaman nilikuwa nawakubali GB 10 usiku bei chee spidi mkazingua mkapandisha bei mkaona haitosh mkafuta kabisa afu ilo ni shirika la serikal ilibid liwe km linasaidia raia ajabu nyiny pia mnafanya biasharaTuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja, jiunge Tam tam plus kwa kupiga *150*71#
Karibu sana