Mtandao inapoweka mnara kwenye eneo lako huwa wanalipa kuanzia Tsh ngapi?

Mtandao inapoweka mnara kwenye eneo lako huwa wanalipa kuanzia Tsh ngapi?

Mmepunjwa! Dalali atakuwa alikuwa cha juu! Kijijini tu kwenye laki 9 kwa mwezi nyie inakuwaje jijini mnalipwa laki 5 kwa mwezi?

jidananye . nyinyi mnaongea story za hear say. mimi naongelea uhalisia, sisi tumepangisha mnara bila dalali mwaka 2006 ndio walitufata home Vodacom. kabla hawajamuuzia HELIOS mnara

demand and supply ndio inapanga bei ya bidhaa yoyote duniani.

wewe ukigoma bei fulani wanaenda kwa jirani yako pia. maana mnara hauna ulazima wa kukaa kiwanja chako. hata kwenye kiwanja cha mwenzako unakaa.

sisi kwa miaka zaidi ya 15 tumepangisha mnara wa simu. najua nachokiongea vizuri. sio wewe unaeleta story za vijiweni.

bei ya kodi ya mnara uliojengwa kariakoo haiwezi kufanana na ubungo. na bei ya kodi ya mnara uliopo ubungo haiwezi kufanana na kodi ya mnara uliopo chanika.

wanafata land value
 
jidananye . nyinyi mnaongea story za hear say. mimi naongelea uhalisia, sisi tumepangisha mnara bila dalali mwaka 2006 ndio walitufata home Vodacom. kabla hawajamuuzia HELIOS mnara

demand and supply ndio inapanga bei ya bidhaa yoyote duniani.

wewe ukigoma bei fulani wanaenda kwa jirani yako pia. maana mnara hauna ulazima wa kukaa kiwanja chako. hata kwenye kiwanja cha mwenzako unakaa.

sisi kwa miaka zaidi ya 15 tumepangisha mnara wa simu. najua nachokiongea vizuri. sio wewe unaeleta story za vijiweni.

bei ya kodi ya mnara kariakoo haiwezi kufanana na ubungo. na bei ya kodi ya mnara uliopo ubungo. na hata kodi ya ubungo haiwezi kufanana na chanika.

wanafata land value
Na mimi vile vile nimepangisha huko mikoani kwangu ndiyo maana nashangaa!
 
Kwani makampuni yenyewe yanamiliki minara yenyewe??

Nilidhani wanaomiliki ni HTT halafu wanampa upangaji hayo makampuni ya simu, kama voda, tigo.
Kwa sasa ndio wanafanya hivyo, HTT/MINARA wanajenga mnara kisha wanapangisha makampuni ya simu, na hiyo imewapunguzia sana gharama, makampuni ya simu
 
Kwa sasa ndio wanafanya hivyo, HTT/MINARA wanajenga mnara kisha wanapangisha makampuni ya simu, na hiyo imewapunguzia sana gharama, makampuni ya simu

unaweza ukawa mkoani ila upo sehemu yenye land value kubwa. mfano maeneo ya kirumba mwanza, land value yake ni kubwa kuliko hata ubungo dar es salaam. hivyo mnara ukiwekwa maeneo hayo mwenye kiwanja atapata kodi kubwa kuliko mwenye kiwanja ubungo dar es salaam

ama maeneo ya kilakala morogoro. land value yake ni kubwa kuliko tabata dar es salaam
 
Mmepunjwa! Dalali atakuwa alikuwa cha juu! Kijijini tu kwenye laki 9 kwa mwezi nyie inakuwaje jijini mnalipwa laki 5 kwa mwezi?
Kuna taasisi moja iko Arusha ina mnara wa mtandao wa simu kwenye eneo lake. Kwa mwaka hiyo taasisi inalipwa milioni 6 na huo mtandao. Labda mabadiliko yafanyike sasa maana ilikuwa 2021. Napata wasiwasi kueleza sana maana kulitokea mgogoro kipindi kile cha serekale ya jiwe ikakwapua hizo fedha kwa jina la makusanyo, haikuishia hapo iyo taasisi walinyang'anywa na miradi mingine miwili ya real estate.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
unaweza ukawa mkoani ila upo sehemu yenye land value kubwa. mfano maeneo ya kirumba mwanza, land value yake ni kubwa kuliko hata ubungo dar es salaam. hivyo mnara ukiwekwa maeneo hayo mwenye kiwanja atapata kodi kubwa kuliko mwenye kiwanja ubungo dar es salaam

ama maeneo ya kilakala morogoro. land value yake ni kubwa kuliko tabata dar es salaam
Cjakuelewa point yako!! Na nilichokiandika
 
Cjakuelewa point yako!! Na nilichokiandika


nimemaanisha kodi ambayo utalipwa kila mwezi baada ya kukubali mnara wa simu kujengwa kwenye eneo lako. itategemea na thamani ya ardhi ya eneo lako lilivyo. ardhi yako ikiwa masaki ikajengwa mnara utapata kodi kubwa kuliko ardhi yako ikiwa kimara ikajengwa mnara
 
Back
Top Bottom