Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
sasa hv haipatikani sijui shida nini?Hawa jamaa waendelee kisawazisha
Demu hajib sms.wakatti ameshaiyona.. hii itsaidia kujua walongo wake...
Mmoja nakaa na sms masaa anajifanya sijaijua kumbe naona ameisoma na ameipotezea
Whatsapp GB ni kiboko
King whatsapp hii ndo yenyewe
tafteni apk yake