Mtandao umekuwa wa kimagumashi mpaka utumie VPN kuna nini?

Mtandao umekuwa wa kimagumashi mpaka utumie VPN kuna nini?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Aisee sasa hivi mtandao unakuwa slow sana au hamna kinachofanyika kabisaaa mpaka uwashe VPN, kunani?

Wameanza kutest mitambo kutokana na vuguvugu la uchaguzi ama?

Nilizima VPN, kuingia hivyo hivyo hamna kitu kinafanyika mpaka nimewasha tena.

Hii ni kwa mtandao wa Yass.. kuna anayepitia kadhia hii, au ndio ile wachache tunakutana na majanga wengi mko vizuri kwahiyo inaonekana mambo shwari? Devide and Rule!
 
Nimeleta uzi jana kulalamikia jambo hili... Nilikua nimeacha kuangalia video za pilau ila jf imefanya nirudi kuzichek tena sababu nimedownload VPN kwajili ya jf nikaona nicheki na video zetu kidogo.

Melo atanifidia kwa hili ☹️
 
Tanzania hii nchi ya kiseng€ sana na inaongozwa na waseng€
Unazimaje au kuhujumu huduma ya internet kwa maisha haya ya sasa ,ambavyo internet communications ni basic na necessary utility kama ilivyo umeme au maji ?
Mbwa kabisa hizi takataka za ccm .
Vichwa vikubwa vimejaa kamasi na kinyesi cha popo .
Huwa namdharau sana mtu anayeheshimu hawa waseng€ wanaojiita viiongozi nchi hii
 
Back
Top Bottom