Mtandao umekuwa wa kimagumashi mpaka utumie VPN kuna nini?

Mtandao umekuwa wa kimagumashi mpaka utumie VPN kuna nini?

Nchi za Afrika hasa Kusini mwa jangwa la Sahara viongozi wengi wanawaza namna ya kusalia na kupenya kwenye chaguzi.

Hii inapelekea kutumia mbinu nyingi haramu kuhujumu mazingira yanayowapa ugumu kushinda.

Internet kwa Dunia ya Sasa ni hitaji muhimu katika jamii.
 
Nimeleta uzi jana kulalamikia jambo hili... Nilikua nimeacha kuangalia video za pilau ila jf imefanya nirudi kuzichek tena sababu nimedownload VPN kwajili ya jf nikaona nicheki na video zetu kidogo.

Melo atanifidia kwa hili ☹️
Uzi ulioleta wewe si wa tubepesa??😅😅😅
 
Nchi za Afrika hasa Kusini mwa jangwa la Sahara viongozi wengi wanawaza namna ya kusalia na kupenya kwenye chaguzi.

Hii inapelekea kutumia mbinu nyingi haramu kuhujumu mazingira yanayowapa ugumu kushinda.

Internet kwa Dunia ya Sasa ni hitaji muhimu katika jamii.
Viongozi na mtandao wa yas vinahusiana Nini???

Anyway
 
Nlishawatukana yas matusi yote kumbe ni tatizo la wote, nimenunua bundle kubwa nifanye kazi yangu fulan nothing has been moving..WTF is wrong with this country ?
 
Wakuu,

Aisee sasa hivi mtandao unakuwa slow sana au hamna kinachofanyika kabisaaa mpaka uwashe VPN, kunani?

Wameanza kutest mitambo kutokana na vuguvugu la uchaguzi ama?

Nilizima VPN, kuingia hivyo hivyo hamna kitu kinafanyika mpaka nimewasha tena.

Hii ni kwa mtandao wa Yass.. kuna anayepitia kadhia hii, au ndio ile wachache tunakutana na majanga wengi mko vizuri kwahiyo inaonekana mambo shwari? Devide and Rule!
Nepi imerudi
 
Hata me limenishangaza. Nikajua labda simu yangu ipo full. Hapa tangu jana nna kazi ya kufuta mapicha na maclip gallery najua ndio yananizonga. Nikoangalia mnara unasoma 5G lkn hamna kitu. Jf ndio kabisa ukiingia mtandao upo very slow
 
Hata me limenishangaza. Nikajua labda simu yangu ipo full. Hapa tangu jana nna kazi ya kufuta mapicha na maclip gallery najua ndio yananizonga. Nikoangalia mnara unasoma 5G lkn hamna kitu. Jf ndio kabisa ukiingia mtandao upo very slow
Wanatufanyia hujuma ya wazi wazi kabisa
 
Back
Top Bottom