chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Kwa nini China inashindwa kudhibiti mtandao huu Alibaba kwa sasa! soko kubwa lipo china ndio chimbuko la mtandao huu?
Yani kama ufahamu ujuzi wa kutumia mtandao huu,unaweza kulia kilio cha mvua kabisa.
Alibaba kama china na tajiri wao isipoweza kuzibiti basi kunaweza kusababisha china na wawekezaji kuonekana wahuni wote.
Matoleo ya alibaba na utapeli kwenye mitandao ya kijamii yamekuwa kasi kwa kulalamikiwa kuhusu biashara.
Mfano bei iliyo wekwa na mapatano inakuwa kitu kingine.
Kampuni kuwa na utambulisho wa kuuza vitu vibovu au kupigwa kabisa.
Brand zilizopo na sio zinazalisha kama unavoziona.
Makampuni kupewa zamana kukubalika na kutoa huduma mbovu.
Tunaendelea.
Yani kama ufahamu ujuzi wa kutumia mtandao huu,unaweza kulia kilio cha mvua kabisa.
Alibaba kama china na tajiri wao isipoweza kuzibiti basi kunaweza kusababisha china na wawekezaji kuonekana wahuni wote.
Matoleo ya alibaba na utapeli kwenye mitandao ya kijamii yamekuwa kasi kwa kulalamikiwa kuhusu biashara.
Mfano bei iliyo wekwa na mapatano inakuwa kitu kingine.
Kampuni kuwa na utambulisho wa kuuza vitu vibovu au kupigwa kabisa.
Brand zilizopo na sio zinazalisha kama unavoziona.
Makampuni kupewa zamana kukubalika na kutoa huduma mbovu.
Tunaendelea.