Mtandao wa Badoo

Mtandao wa Badoo

Mnazungumzia badoo gani kati ya izo ambayo iko vzr hapo
7f39fa74743d99b3f65a0d41177943dd.jpg
 
Huyo ulie mgegeda unataka kumkimbia ? Kwa kuufunga mtandao ? Sasa au ameona utapata na wengine mmeamua kutoingia huko kabisa .
 
uyu vip jaman yaan baada ya kugegeda ndo unaomba badoo ifungwe
 
baada ya kumgegeda utaki na wenzako tupate hiyo nafas??
 
Kaka ilikua tafiti niweze kuanalyse data zangu isije null hypothesis ikawa accepted... I had to practice
kaka una hatarii sasa izo practical zako na ayo maambukizi uliyo yasema c hatarii....lkn umetisha
 
Back
Top Bottom