Mtandao wa Badoo

Badoo ziko mbili ssa ipi inazungumziwa hapa
 
Huyo ulie mgegeda unataka kumkimbia ? Kwa kuufunga mtandao ? Sasa au ameona utapata na wengine mmeamua kutoingia huko kabisa .
 
Cyo wote wanajiyza bhana wengine tunachat as a normal friend msipotoshe wwngine
 
uyu vip jaman yaan baada ya kugegeda ndo unaomba badoo ifungwe
 
baada ya kumgegeda utaki na wenzako tupate hiyo nafas??
 
Kaka ilikua tafiti niweze kuanalyse data zangu isije null hypothesis ikawa accepted... I had to practice
kaka una hatarii sasa izo practical zako na ayo maambukizi uliyo yasema c hatarii....lkn umetisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…