Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadharau leo wamenikatia simuhata ukimipigia mtu wa halotel mara nyingi not available
Aloo ephen_ una umri gani, yaani umeanza kutumia simu kwa mtandao wa halotel!!!Mbona mimi hizo ghasia sizipati, tokea nianze kutumia simu mtandao wangu ni halotel na siwezi kubadilisha.
GB 10 ni wiki ya 3 sasa natamba nayo.
Huwa nauza bundlesMbona mimi hizo ghasia sizipati, tokea nianze kutumia simu mtandao wangu ni halotel na siwezi kubadilisha.
GB 10 ni wiki ya 3 sasa natamba nayo.
Usalama wa namba yangu🫣Huwa nauza bundles
Sana wanahuduma za hovyoHalotel wakiendelea na mwendo huu.
Sio kwa ubaya wanaenda kupoteza wateja wengi mno
anhaaa kumbe sio mdogo sana upo kati ya 2000 mpaka 2003.Nimeanza kutumia simu 2017😂 nilipomaliza form 4
Aisee safi.Khaa! Yaani primary? Boarding ilinisaidia kuweza kukaa bila kutumia simu mpk nilipomaliza shule.
Wazazi hawakunikataza ila nilikua sina mzuka wa simu.
I see, huwa naunga vifurushi vya halotel. Malipo baada ya kazi. Nafahamu maana ya privacy. Ukihitaji unani PMUsalama wa namba yangu🫣
NitakucheckI see, huwa naunga vifurushi vya halotel. Malipo baada ya kazi. Nafahamu maana ya privacy. Ukihitaji unani PM
Halotel Bando
GB 12 Tsh: 10,000
GB 18 Tsh: 15,000
GB 24 Tsh: 20,000
GB 35 Tsh: 30,000
VALID MWEZI.
PM
Kweli mkuu ndio wanachotufanyia wanawaibia wateja wakeWana gharama nafuu za bando zao , ila hizo bando zinakuwa ni feki yaani unaambiwa umepokea GB10 kwa 10k ila actually ni GB4 kwa 10k ,
Duh! Yani bado unazungunzia 4G 2025 kweli!!!fungua 4G uone spidi mbili zakutafuna mb na kasi...🤣
Sitoshangaa kuona umeuzwa kama ZANTELKatika siku za hivi karibuni, wateja wamekuwa wakijiunga na kifurushi cha GB 10 cha mwezi mzima, lakini ndani ya siku tatu tu, bando limekwisha, huku matumizi halisi ya data yakionyesha kiwango cha 1GB kwa kila siku tatu. Huu ni ushahidi wa wazi wa kasoro katika mfumo wa usimamizi wa data au hujuma dhidi ya watumiaji.
Zaidi ya hayo, mtandao umekuwa haupatikani kwa muda mrefu, jambo ambalo si tu linakwamisha mawasiliano bali pia linadhoofisha uchumi wa wateja wenu wanaotegemea huduma za intaneti kwa shughuli zao za kila siku.
Kama kampuni haiwezi kutoa huduma bora kwa wateja wake, basi hakuna sababu ya kuendelea kuwepo sokoni. Ni heri kubaki na kampuni chache lakini zenye huduma za uhakika kuliko kuwa na kampuni zinazoleta kero na hasara kwa watumiaji wake.
Ni wakati wa Halotel kuwajibika ama kupisha nafasi kwa watoa huduma wenye uwezo wa kweli wa kuheshimu na kuhudumia wateja wao ip
asavyo.
Mimi sina hamu nao kabisaHalotel ilikuja vizuri lakin Sasa hivi inasua Kwa kiwango cha kutisha
Nafikiri either ni hujuma au uwezo wa kutoa huduma Bora Kwa wateja umepungua
Mh! kuna watu mnajikuta sasa kuwa 2025 ndo nini..??Duh! Yani bado unazungunzia 4G 2025 kweli!!!