KERO Mtandao wa Halotel Tanzania umedorora kwa kiwango cha kushangaza, ukionyesha udhaifu mkubwa katika utoaji wa huduma za mawasiliano

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hawa si ndio mtu unapiga simu haijaita imepokelewa na hamna mazungumzo mpaka urudie kama mara tatu ndio simu iweze kuita kwa hali ya kawaida.
 
Nimeanza kutumia simu 2017😂 nilipomaliza form 4
anhaaa kumbe sio mdogo sana upo kati ya 2000 mpaka 2003.

Ila kusema umeanza ulipomaliza form 4 ni kamba hiyo, sema ile rasmi ndio hiyo ila kiwiziwizi ni tangu primary.

Ishu ya simu imenifarakanisha sana na dogo langu la kike aisee, ni wasumbufu sana ninyi vitoto vya buku mbili dadeki zenu.
 
Wana gharama nafuu za bando zao , ila hizo bando zinakuwa ni feki yaani unaambiwa umepokea GB10 kwa 10k ila actually ni GB4 kwa 10k ,
 
Sitoshangaa kuona umeuzwa kama ZANTEL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…