we wamatopen unamAanisha yanga inabebwa mpaka CAF!!Kwa jinsi hili litimu lilivyo libovu na linavyobebwa bebwa na marefa, ingekua ni aibu kwa Tanzania kulitaja hilo litimu lipo Tanzania. Mnyama pekee ndo anajulikana Kimataifa. Hahahhahahhahahhaha huu mchezo hauhitaji hasira.
Sasa chura na hilo nalo swali???we wamatopen unamAanisha yanga inabebwa mpaka CAF!!
Achana naye, hao jamaa siyo class yetu.we wamatopen unamAanisha yanga inabebwa mpaka CAF!!
Mkuu kumbe wewe hujajua, kukataa kuitaja Tanzania ni kuinyima ujiko nchi yetu. Kitendo cha kuitaja Ghana ni kuonesha kuwa nchi hiyo inastahili kuwa na timu kati ya hizo nane.Kwa jinsi hili litimu lilivyo libovu na linavyobebwa bebwa na marefa, ingekua ni aibu kwa Tanzania kulitaja hilo litimu lipo Tanzania. Mnyama pekee ndo anajulikana Kimataifa. Hahahhahahhahahhaha huu mchezo hauhitaji hasira.
Chura wew mwenyewe Habar ya mujin ni Wamatopen kutoka Taifa kubwa hadi Chura ananesanesaSasa chura na hilo nalo swali???
Umeanza vizuri lakini sentensi za mwisho umeharibu! Umeontesha unaongozwa na mihemko ya kisiasa zaidi!Kaka Matusi ya nini! Sio kila hoja lazima kuwe na mihemuko..... Hili kwa kweli ni JANGA la kitaifa na sio MILA NA DESTURI ZA KITANZANIA..... Toka vikundi na Magenge ya wanaharakati yaruhusiwe yamehamasisha utamaduni usioukuwa na staha.... UKAWA/CHADOMO...hacheni mambo haya... Rudini kwenye misingi ya Kitanzania iliyowekwa na CCM ( Afro shirazi + TANU)
Nawewe yaleyale tu nyani haoni kundule,muandishi =mwandishi.Sasa wewe na yeye mnatofauti gani kwenye uandishi?
Muhandishi = Muandishi
Ovyo. = Hovyo
poa sister isiwe tabuSasa chura na hilo nalo swali???
dk mwaka nmeckia ameshawatumia wamatopen barua ya mwaliko kushiriki ndondo cupMkuu kumbe wewe hujajua, kukataa kuitaja Tanzania ni kuinyima ujiko nchi yetu. Kitendo cha kuitaja Ghana ni kuonesha kuwa nchi hiyo inastahili kuwa na timu kati ya hizo nane.
Mikia mtasikitika sana mwaka huu, endeleeni kulialia wakati sie wenzenu tunakata mawimbi hewani kwenda nchi za watu huku ninyi mkihangaika kutafuta spare parts za basi la Yutong ili muende mikoani.
Go go go Young Africans SC International.
Mkuu, pana wengine wanaumwa ugonjwa wa siasa tu. Kila anachofikiri ni siasa basi mengine mtupu.sasa ukawa na CCM wamefata nn huku?
Hapana, waendelee na wizi duniani kote maana ndio fani yao.jamaa wanaoendesha huo mtandao ni mbulula, eti Tusnia....ndo nini?
waache soka wadeal na mademu tu ndo wanachoweza
Sioni cha ajabu hapo. Nmakosa ya uandishi. Hata magazetu yetu yanakosea mara nyingi tu. Mhariri alitakiwa kuwa mwangalidu zaidi.Mtandao wa soka25east wa kenya umesema timu ya yanga iliongia makundi africa inatoka ghana
View attachment 348891View attachment 348892
Mtandao wa soka25east wa kenya umesema timu ya yanga iliongia makundi africa inatoka ghana
View attachment 348891View attachment 348892