nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,355
- 8,149
we wamatopen unamAanisha yanga inabebwa mpaka CAF!!Kwa jinsi hili litimu lilivyo libovu na linavyobebwa bebwa na marefa, ingekua ni aibu kwa Tanzania kulitaja hilo litimu lipo Tanzania. Mnyama pekee ndo anajulikana Kimataifa. Hahahhahahhahahhaha huu mchezo hauhitaji hasira.