Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Mtandao wa Serekali TANepS hapatilani toka jana, mtandao huu ambao tender zote za serekali hupatikana kupitia mtandao huu imekuwa kero kubwa sana kwasababu wakandara na suppliers hutumia mtandao huu kupakuwa na kutuma tenda zao hali inayopelekea kuleta hofu.
Kinacho nishangaza ni ukimya wa tasisi usika kuka kimya bila kutolea ufafanuzi jambo hili, Juhudi zangu za kuwapigia kwa kutumia no za huduma kwa wateja hazikuzaa matumda baada ya ya namba hizo kutokupokelewa
Kinacho nishangaza ni ukimya wa tasisi usika kuka kimya bila kutolea ufafanuzi jambo hili, Juhudi zangu za kuwapigia kwa kutumia no za huduma kwa wateja hazikuzaa matumda baada ya ya namba hizo kutokupokelewa