Mtandao wa TANePS haupatikani nini Tatizo

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Mtandao wa Serekali TANepS hapatilani toka jana, mtandao huu ambao tender zote za serekali hupatikana kupitia mtandao huu imekuwa kero kubwa sana kwasababu wakandara na suppliers hutumia mtandao huu kupakuwa na kutuma tenda zao hali inayopelekea kuleta hofu.

Kinacho nishangaza ni ukimya wa tasisi usika kuka kimya bila kutolea ufafanuzi jambo hili, Juhudi zangu za kuwapigia kwa kutumia no za huduma kwa wateja hazikuzaa matumda baada ya ya namba hizo kutokupokelewa
 
Matengenezo ya mtandao tu ondoa shaka juu ya hilo watarudisha tu....
 
Matengenezo ya mtandao tu ondoa shaka juu ya hilo watarudisha tu....
Bila taarifa ndugu, kuna tender ambazo ilikuwa mwisho kuupload jana na leo itakuwaje?
 
Huu mtandao ni kero sana, watu wamekuwa wakilalamuka sana
Na juzi nilisikia MF anasema kuhusu kikomo cha bei kwa bidhaa na huduma, nikachoka kabisa

Nadhani hili la kikomo cha bei liliwahi kufanyika hapo nyuma, sijui nini kilitokea likafutwa, sasa naona linarudi tena.

Najiuliza, ivi wataalamu wa manunuzi huwa wanashirikishwa katika maboresho ya sheria hii ya manunuzi!? naona mpaka sasa tumefanikiwa kwa kiwango kidogo katika kutekeleza sheria hii ya manunuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…