Nimejalibu Inagoma piaHawataki tu claim airdrop
Hata kwangu na zinazidi kupunguaNimejalibu Inagoma pia
Tumia VPN itafungukaNimejalibu Inagoma pia
Mbona naangalia ngono hapa hausumbuiWadau natumai mko vizuri.
Kwa siku tatu sasa mtandao wa Telegram umekuwa haufunguki na nahusisha na taarifa kuwa kuna changamoto ya kimtandao licha ya kuwa Mamlaka husika hazijareport chochote.
Telegram, imekuwa inaload tu Kwa siku ya nne sasa, kuna Nini kinaendelea?
Kama Vpn gani mkuuTumia VPN , mimi nimetumia vp imekubali
Mfano wa VPNTumia VPN itafunguka
Tiptop VPN, eXPRESS VPN, Secure VPN n.kMfano wa VPN
Nimejaribu kudownload telegram imegoma nimewasha VPN inakataaTiptop VPN, eXPRESS VPN, Secure VPN n.k