Mtandao wa Tigo kimeo sana

Mtandao wa Tigo kimeo sana

Mzee makoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
3,482
Reaction score
4,673
Hivi kwanini mtandao wa Tigo kila siku tatizo la mtandao ni wao tu? Hapa nataka kufanya huduma ya tigo pesa inaniambia mtandao unasumbua, ina maana leo nalala giza.
 
Ivi kwann mtandao wa Tigo kila siku tatizo la mtandao ni wao tu? Hapa nataka kufanya huduma ya tigo pesa inaniambia mtandao unasumbua, inamaana leo nalala giza sasa kmme.

Mod; msihamishe aka kaThread kangu
use alternative networks plz plz 🐒
 
Ivi kwann mtandao wa Tigo kila siku tatizo la mtandao ni wao tu? Hapa nataka kufanya huduma ya tigo pesa inaniambia mtandao unasumbua, inamaana leo nalala giza sasa kmme.

Mod; msihamishe aka kaThread kangu
Kwamba bando bei juu na mtandao unasumbua 🤣🤣🤣
 
Mungu akusamehe kijana, unatumia tigo na unatangaza hadharani tena bila aibu?

Mungu akusamehe kabisaaa, ikiwezekana akuchukue ukaishi nae maana hapa duniani umetushinda.
 
Mtandao wenyewe eti unaitwa TIGO ambalo linanasibishwa na kinyeo! hama huko mkuu
 
Back
Top Bottom