Wood Stone
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 647
- 1,012
Tigo ishakuwa shirika la upigaji na wanapata hela sana. 2500 X watu 70,000 wanahela nzuri. Juzi kati walitembea na hela yangu ila nikasemehe. Halotel nimeweka vocha ya buku wakapita nayo wakanibakizia 619. Niliudhika sana siku hiyo. Pole sanawe acha tu, hii mitandao kwakwel ni janga
Wanaiba Siku hizi vifurushi wanaiba ukiweka tu muda kidogo wanakuwa wameishakombaMorning
Kiukweli Tigo jamani wanakera sana, tarehe 31 October mzee amenunua kifurushi cha tsh 2500 kwa njia ya Tigo Pesa, cha ajabu hela wamekata kwenye Tigo Pesa yake na kifurushi hajapata mpaka hii leo, kila anapopiga simu wanamuambia tatizo linashughulikiwa, ni wiki sasa, japo ni hela ndogo ila ni haki yake.
Hivi Waziri anayehusika na hii mitandao ni nani, au viongozi wa serikali wana share kwenye haya makampuni ya simu, maana yanafanya dhuluma. Tunalalamika humu kila siku lakini bado wanaendelea na usanii wao jamani.
Siku hizi kuna wizi Mkubwa Sana kwenye tigo upande wa vifurushiMorning
Kiukweli Tigo jamani wanakera sana, tarehe 31 October mzee amenunua kifurushi cha tsh 2500 kwa njia ya Tigo Pesa, cha ajabu hela wamekata kwenye Tigo Pesa yake na kifurushi hajapata mpaka hii leo, kila anapopiga simu wanamuambia tatizo linashughulikiwa, ni wiki sasa, japo ni hela ndogo ila ni haki yake.
Hivi Waziri anayehusika na hii mitandao ni nani, au viongozi wa serikali wana share kwenye haya makampuni ya simu, maana yanafanya dhuluma. Tunalalamika humu kila siku lakini bado wanaendelea na usanii wao jamani.
Yaan we acha tuWiki ya 2 sasa tangu niombe Tigopesa statement wakasema watatuma kwenye mail baada ya 72 hours,
Nikawauliza masaa 72 mbona ni Mengi sana?
Kwa statement ya Januari hadi October tu?!
Sasa hayo masaa 72 yaliisha tangu wiki ilopita hadi leo zaidi ya wiki majibu hakuna !
Kwa bahati tulikuwa tunahitaji na line ya Airtel, Airtel baada baada ya 72 majibu yalipatikana lakini walikataa kutuma kwenye mail hadi mtu uyafate eti!
Kwa ujumla hii mitandao ya simu ina matatizo sana!
Yaani kupata statement tu insshindikana?
Eti masaa 72 [emoji87][emoji87] basi maendeleo tutasubiri sana aisee
Tigo mnatuchosha!
mi nazungumzia jambo ambalo ni lipo siriaz, we unaongea ujinga, kwann mashoga wengi hamna akili,
Tigo ni wababaishaji sana. Juzi nimewaomba wanisaidie namna ya kumbana mtu niliyemtumia pesa kimakosa ambapo niligundua baada ya pesa kuliwa. Niliwataka wa-withhold pesa yoyote itakayoingia kwenye namba hiyo ili kufidia pesa yangu. Customer care wakanijibu kwamba hawana msaada kwa pesa ambayo imekwisha liwa.Morning
Kiukweli Tigo jamani wanakera sana, tarehe 31 October mzee amenunua kifurushi cha tsh 2500 kwa njia ya Tigo Pesa, cha ajabu hela wamekata kwenye Tigo Pesa yake na kifurushi hajapata mpaka hii leo, kila anapopiga simu wanamuambia tatizo linashughulikiwa, ni wiki sasa, japo ni hela ndogo ila ni haki yake.
Hivi Waziri anayehusika na hii mitandao ni nani, au viongozi wa serikali wana share kwenye haya makampuni ya simu, maana yanafanya dhuluma. Tunalalamika humu kila siku lakini bado wanaendelea na usanii wao jamani.
Naomba TIGO
Asante Mama nitafanya kama ulivyoagiza.
dah mkuu umetishaAsante Mama nitafanya kama ulivyoagiza.
Halotel wanasajili bila NIDA mkuu?Hhahahaa Mina weee!haahhaha..umechafukwa!..ila tigo ndo zao!mm wananiringia kunirudishia line yangu eti hadi NIDA😏😏!hamieni halotel !
Halotel wanasajili bila NIDA mkuu?
Yeah upo sahihi na ni makampuni yoteNamaanisha ukipoteza line siku hiz wanatakA kitambulisho chA NIDA