Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kama post haieleweki si ungeipita wewe hauna akiliPost ya hovyo kabisa yaani hueleweki unauliza, unatoa taarifa, unalalamika au vipi, mbaya zaidi kabla watu hawajachangia uzi tayari umeshaleta suluhisho.
Haha ila watu wa jfPost ya hovyo kabisa yaani hueleweki unauliza, unatoa taarifa, unalalamika au vipi, mbaya zaidi kabla watu hawajachangia uzi tayari umeshaleta suluhisho.
Why ulihisi account Yako imekuwa hacked?Duuh nimeshangaa sana nikajua ni mm pekeyangu, maana kila nikijaribu kuload posts hazitokei nikahisi labda account yangu imekuwa hacked.!
Kwa uhandishi sahihi ungeweza kusema tu kwenye heading kwamba mtandao wa twitter ulikuwa down kwa lisaa limoja.....Mtandao wa Twitter x upo down picha azifunguki na kurepost imegoma ukilike inakataa.
Post hazionekani imekaa saa 1 bila kufanya kazi sasa hivi imerudi na inafanya kazi kama kawaida tatizo limeisha.
View attachment 2848845
Hata mimi piaDuuh nimeshangaa sana nikajua ni mm pekeyangu