Mtandao wa ulipuaji mabomu Arusha wabainika!!

Mtandao wa ulipuaji mabomu Arusha wabainika!!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Katika sakata la kuonekana kuwa suala la mabomu ya Arusha ndio kwanza linaaza, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amesema uchunguzi wa milipuko hiyo(Olasiti na Soweto) unaendelea na hakuna atakayebainika atakayeachwa atambe.


Kwa wale wenzangu na miye ambao hamsomi gazeti la Uhuru, leo wametoa freshi.
Kulingana na gazeti hilo Uhuru la Julai 4, 2013, nanukuu:


"Na Lilian Mollel,Arusha
Mtandao wa ulipuaji wa mabomu katika jiji la Arusha umebainika na kwamba, mipango yote ilianzia jijini humo, pamoja na wahusika wake.

Taarifa za awali kutoka jeshi la polisi zinasema milipuko iliyotokea katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi,Olasiti na ule wa Uwanja wa Soweto, licha ya mabomu hayo ktengenezwa nchi tofauti.


Bomu liliolipuliwa uwanja wa Soweto Juni 15 limetengenezwa nchini China na lile la Kanisani lililolipuliwa Mei 5 , mwaka huu limebainika kutengenezwa Russia na halikuwa na namba za usajili..
Imeelezwa kuwa wataalamu toka China wapo jijini Arusha wakifanya uchunguzi wa kina kuhusu bomu hilo........"


Vile vile ......

Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Magesa Mulongo, amesema
" Alisema makachero wa polisi na vyombo vingine vya ulinzi bado wapo jijini hapa wakiendelea na kazi na kwamba mtandao huo wa walipuaji umebainika."

Wana JF msemo kuwa serikali ian mkono mrefu sasa utatimia, maana pale Arusha kuna FBI, Wachina na hata vyombo vyetu vya dola.
Hapo ndio patamu maana ukweli lazima utabainika.
Wale wenye DVR zao kama zilivyokuwa zikitamba kuwa ni polisi walihusika ni bora wakashirikiana na kuyaweka hadharani sasa ili watuhumiwa wapelekwe kwa pilato.
 
Lini watuhumiwa waliisha shughurikiwa kwa kila tukio lililo husishwa na CHAMA CHA KIFISADi, nini kitawasukuma mpaka waanze na hili swala la Arusha, wanajupumbaza weneywe. hamauana namana yoyte inayo tenge tukio na serikali, labda wadai kama ni askari walifanya kwa matashi binafsi, na mulugo anaweza kuongea kitu chochote cha maana?
 
Lini watuhumiwa waliisha shughurikiwa kwa kila tukio lililo husishwa na CHAMA CHA KIFISADi, nini kitawasukuma mpaka waanze na hili swala la Arusha, wanajupumbaza weneywe. hamauana namana yoyte inayo tenge tukio na serikali, labda wadai kama ni askari walifanya kwa matashi binafsi, na mulugo anaweza kuongea kitu chochote cha maana?

kuna upelelezi wa matukio huchukua mda mrefu sana hata mwaka,muhimu hapa ni kuvuta subira
 
Unafikiri kama ni polisi wanahusika hence CCM kutakuwa na jipya?
Si ajabu kwani kule Iringa ni wao walioua mwandishi wa habari kwa kutumwa na CCM >>> kwa ufadhili wa China>>> kudhoofisha wale wote kama (CHADEMA) watakao weka maslahi ya China mashakani wakiachiwa washike dola. Mikataba waliyoingia na mabeberu hawa ni ya kifisadi na wameweka kuwa siri kubwa ili kuficha uovu wao kwa maslahi yao mafisadi wa kwetu na hao mabeberu. Wakiruhusu serikali nyingine ichukue dola mambo yao yatakuwa hadharani na yatavurugika.

Conclusion: Hakuna jipya hapo na CCM hawapo tayari kuachia madaraka kwa kusaidiwa na hao mabeberu wa China na wenzake!
 
Katika sakata la kuonekana kuwa suala la mabomu ya Arusha ndio kwanza linaaza, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amesema uchunguzi wa milipuko hiyo(Olasiti na Soweto) unaendelea na hakuna atakayebainika atakayeachwa atambe.


Kwa wale wenzangu na miye ambao hamsomi gazeti la Uhuru, leo wametoa freshi.
Kulingana na gazeti hilo Uhuru la Julai 4, 2013, nanukuu:


"Na Lilian Mollel,Arusha
Mtandao wa ulipuaji wa mabomu katika jiji la Arusha umebainika na kwamba, mipango yote ilianzia jijini humo, pamoja na wahusika wake.

Taarifa za awali kutoka jeshi la polisi zinasema milipuko iliyotokea katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi,Olasiti na ule wa Uwanja wa Soweto, licha ya mabomu hayo ktengenezwa nchi tofauti.


Bomu liliolipuliwa uwanja wa Soweto Juni 15 limetengenezwa nchini China na lile la Kanisani lililolipuliwa Mei 5 , mwaka huu limebainika kutengenezwa Russia na halikuwa na namba za usajili..
Imeelezwa kuwa wataalamu toka China wapo jijini Arusha wakifanya uchunguzi wa kina kuhusu bomu hilo........"


Vile vile ......

Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Magesa Mulongo, amesema
" Alisema makachero wa polisi na vyombo vingine vya ulinzi bado wapo jijini hapa wakiendelea na kazi na kwamba mtandao huo wa walipuaji umebainika."

Wana JF msemo kuwa serikali ian mkono mrefu sasa utatimia, maana pale Arusha kuna FBI, Wachina na hata vyombo vyetu vya dola.
Hapo ndio patamu maana ukweli lazima utabainika.
Wale wenye DVR zao kama zilivyokuwa zikitamba kuwa ni polisi walihusika ni bora wakashirikiana na kuyaweka hadharani sasa ili watuhumiwa wapelekwe kwa pilato.

Masopakyindi hapo tuu ndipo tunapotofautiana, cant you connect the dots au sisi tuliosoma zamani mambo hayo nhatukuwa nayo? Evidence ni, 1. Chairman Kasema poleni CHADEMA, 2. Katibu mwenezi anasema ni CHADEMA, 3. Katibu msaidizi anasema ni mataifa ya nje kwa kuwa wana wivu wa raslimali zetu!

try connect the dots, kukosya i soni nkamu, baghogi abo! Angalia similar incidence ya Ulimboka, double standards, same occurrence and contradictions among the leaders, like for instance, how the President and his subordinates mismatched their comments! , we don't have a smart TISS!

We know what they are doing for, some of us are even smarter than the TISS! Ukitaka kujua angalia bomu limerushwa pamoja na kuwa mkutano ulikuwa wa CDM lakini kama dola isingekuwa na mkono, ungeona uhusika wa dola katika tukio zima kwa kupitia Bunge, CCM na viongozi! Unajua wangekuwa wamaplan wazungu it could be even harder to know who are the culprits, lakini sisi waTanzania sio wanafiki, Dola wameona hata aibu ku attend kwenye msiba, wamebaki ku comment kwenye uhuru shame on them!
 
Kipi/wapi huo mtando ulipobainika? Akina nani hao mbona na wewe unaleta porojo za akina Mlongo tu??

Tunataka uje hapa na majina na ushahidi mwingine usio nashaka juu ya hilo,

Hizo porojo wapelekee lumumba huko sio hapa,

Jwtz lilibaini tangu siku moja baada ya tukio kuwa bomu na risasi vimetengenezwa China, sasa wewe unawafanya watu wajinga kuwarudiarudia kusema hayo?
 
Nilitegeme a kusoma majina ya wahusika, kumbe ni siasa juu siasa.!!!
 
china na maccm mnategemea nn? serikali hii ni hatari wamewaletea wachina waje kupika data bandia kama zile bidhaa zinazopatikana pale kariakoo. usikute hao wanaosema makachero ni wachina waliofika kwene maonesho ya sabasaba kuja kuuza visu vya kukatia kabeji na blender za kutengeneza juice za ukwaju.
 
Kipi/wapi huo mtando ulipobaini? Akina nani hao mbona na wewe unaleta porojo za akina Mlongo tu??

Tunataka uje hapa na majina na ushahidi mwingine usio nashaka juu ya hilo,

Hizo porojo wapelekee lumumba huko sio hapa,

Jwtz lilibaini tangu siku moja baada ya tukio kuwa bomu na risasi vimetengenezwa China, sasa wewe unawafanya watu wajinga kuwarudiarudia kusema hayo?
 
kila kitu huwa kinamwanzo lakini pia lazima kiwe na mwisho wake haya yote yatafika tu kikomo chake na wahusika watajulikana tu.
 
Kwa tulipofikia jeshi la polisi linatakiwa livunjwe

Limekosa mwelekeo kabisa....wanashindwa kutambua jamii imebadilika kabisa

yapo mambo ambayo mwenye akili hawezi kabisa kuwaelewa hata kidogo

MPAKA leo umma haujawahi ambiwa uchunguzi walioufanya wa Mengi-mwanawe alitaka abambikiziwe madawa ya kulevya wamefikia wapi
MPAKA LEO Viongozi wa dini kule zanzibar waliomwagiwa tindikali( msaidizi wa mufti) na mwenzake uchunguzi waligundua nini
MPAKA leo uchunguzi wa Padre aliyejeruhiwa kwa risasi kule zanzibar uchunguzi unaendelea

MPAKA LEO padre aliyeuwawa kwa risasa zanzibar uchunguzi ..wamefanya majibu hakuna

Kuna mwanachadema aliuwawa USA river-Tengeru hatujasikia watu kupelekwa mahakamani
Igunga kuna Raia aliuwawa hakuna waliofikiswa mahakamani
Bomu La kanisani Arusha majibu hakuna

TUNAWASHANGAA nguvu kubwa wanayotumia kuwakandamiza CHADEMA kwanini wasiitumie kusaka vibaka na kutoa majibu ya hizo chunguzi zao tata ambazo zimechukua miezi miaka bila majibu?????? kwa jinsi mambo yanavyokwenda utafikiri Mwingulu ndio IGP anachokitaka yeye ndio mnakifanya tena kwa nguvu zote

Tambueni mnatakiwa muwe sehemu ya jamii...sasa pale jamii inapoona mnapendelea wazi wazi.....mnapata picha gani...tambueni....matumizi ya nguvu hata siku moja hayajawahi kuwa suluhisho la matatizo.....sio Kwamba watanganyika hawaoni na kuelewa kinachoendelea CAIRO...Brazil....Uturuki
 
Kipi/wapi huo mtando ulipobaini? Akina nani hao mbona na wewe unaleta porojo za akina Mlongo tu??

Tunataka uje hapa na majina na ushahidi mwingine usio nashaka juu ya hilo,

Hizo porojo wapelekee lumumba huko sio hapa,

Jwtz lilibaini tangu siku moja baada ya tukio kuwa bomu na risasi vimetengenezwa China, sasa wewe unawafanya watu wajinga kuwarudiarudia kusema hayo?

wewe unayekimbilia kutukana yawezekana ndiyo mhusika,

kwa nini ukimbilie kuhamaki kama siyo mhusika unajua kuwa mwisho wenu utafika tu.
 
Kwa tulipofikia jeshi la polisi linatakiwa livunjwe

Limekosa mwelekeo kabisa....wanashindwa kutambua jamii imebadilika kabisa

yapo mambo ambayo mwenye akili hawezi kabisa kuwaelewa hata kidogo

MPAKA leo umma haujawahi ambiwa uchunguzi walioufanya wa Mengi-mwanawe alitaka abambikiziwe madawa ya kulevya wamefikia wapi
MPAKA LEO Viongozi wa dini kule zanzibar waliomwagiwa tindikali( msaidizi wa mufti) na mwenzake uchunguzi waligundua nini
MPAKA leo uchunguzi wa Padre aliyejeruhiwa kwa risasi kule zanzibar uchunguzi unaendelea

MPAKA LEO padre aliyeuwawa kwa risasa zanzibar uchunguzi ..wamefanya majibu hakuna

Kuna mwanachadema aliuwawa USA river-Tengeru hatujasikia watu kupelekwa mahakamani
Igunga kuna Raia aliuwawa hakuna waliofikiswa mahakamani
Bomu La kanisani Arusha majibu hakuna

TUNAWASHANGAA nguvu kubwa wanayotumia kuwakandamiza CHADEMA kwanini wasiitumie kusaka vibaka na kutoa majibu ya hizo chunguzi zao tata ambazo zimechukua miezi miaka bila majibu?????? kwa jinsi mambo yanavyokwenda utafikiri Mwingulu ndio IGP anachokitaka yeye ndio mnakifanya tena kwa nguvu zote

Tambueni mnatakiwa muwe sehemu ya jamii...sasa pale jamii inapoona mnapendelea wazi wazi.....mnapata picha gani...tambueni....matumizi ya nguvu hata siku moja hayajawahi kuwa suluhisho la matatizo.....sio Kwamba watanganyika hawaoni na kuelewa kinachoendelea CAIRO...Brazil....Uturuki

mkuu naona upo of tanzania hujui kuwa muuaji wa padri yuko rumande na kesi yake inaendelea.

muuaji wa kiongozi wa chadema usa yuko rumande na kesi inaendelea sijui unalalama nini.
 
Hivi inamaanisha tangu mlipuko utokee hakuna mtu (watu) yeyote (wowote) aliyekamatwa (waliokamatwa) na kupelekwa mahakamani? Ni heri Obama aliamua ajilinde mwenyewe kwani serikali yetu haieleweki. Sasa hivyo vyombo vya dola vinafanya nini? Si watudokezee tuu hata dalili zinalenga upande upi? Mkuu wa Kaya system yako inakuangusha, kama unaona haya matukio ni mepesi kwetu sisi ni mazito sana na yanajenga taswira mbaya sana kwa vizazi vijavyo.
 
wewe unayekimbilia kutukana yawezekana ndiyo mhusika,

kwa nini ukimbilie kuhamaki kama siyo mhusika unajua kuwa mwisho wenu utafika tu.

Watanzania hawahitaji porojo, wanahitaji kuambiwa ukweli kuwa fulani na fulani ndio waliolipua mabomu,

Bahati mbaya kwenu nikuwa hamuwezi kuwadanganya kwakuwa Wanaarusha waliona kwamacho yao mlipuaji na wapigaji risasi kuwa ni POLISI wa Tanzania,

Huwezi kuwadanganya wakati wameona na wamepigwa risasi kisa wameona, huwezi kuwadanganya kwakuwa wameona ndugu zao wakiuliwa live,

Ukitaka kudanganya nenda kaidanganye familia yako lakini naamini nayo itakukataa tu!
 
mkuu naona upo of tanzania hujui kuwa muuaji wa padri yuko rumande na kesi yake inaendelea.

muuaji wa kiongozi wa chadema usa yuko rumande na kesi inaendelea sijui unalalama nini.

Wewe ndio nadhani umelala usingizi PONO tena kabisa
aliyekuambia ambaye ameshitakiwa zanzibar ndio mhusika ni nani? Kesi ya aliyeuwawa IGUNGA nayo vipi???hiyo ya Arusha najua utakuwa unaota kabisa

Hukusikia mwanasheria Mkuu wa Zanzibar alipowaambia Polisi wakamtafute muuwaji??????ile kesi ya ZOMBE VIPI?????

naona akili zako umewaazima waliokutuma hapa
 
Ccm wamegeuka mazombi, wanaua watanzania wenzao, wanaua na tembo wetu! Kimegeuka kuwa kikundi cha maharamia
 
mkuu naona upo of tanzania hujui kuwa muuaji wa padri yuko rumande na kesi yake inaendelea.

muuaji wa kiongozi wa chadema usa yuko rumande na kesi inaendelea sijui unalalama nini.
Muuaji wa Kiongozi wa CHADEMA USA River alimnyang`anya silaha askari akakimbia, akavuka mto akasepa! Hakuna taarifa kuwa amekamatwa, japo alikamatwa kwa Mganga wa Kienyeji KONDOA!! Usipotoshe ukweli please!!
 
Masopakyindi hapo tuu ndipo tunapotofautiana, cant you connect the dots au sisi tuliosoma zamani mambo hayo nhatukuwa nayo? Evidence ni, 1. Chairman Kasema poleni CHADEMA, 2. Katibu mwenezi anasema ni CHADEMA, 3. Katibu msaidizi anasema ni mataifa ya nje kwa kuwa wana wivu wa raslimali zetu!

try connect the dots, kukosya i soni nkamu, baghogi abo! Angalia similar incidence ya Ulimboka, double standards, same occurrence and contradictions among the leaders, like for instance, how the President and his subordinates mismatched their comments! , we don't have a smart TISS!

We know what they are doing for, some of us are even smarter than the TISS! Ukitaka kujua angalia bomu limerushwa pamoja na kuwa mkutano ulikuwa wa CDM lakini kama dola isingekuwa na mkono, ungeona uhusika wa dola katika tukio zima kwa kupitia Bunge, CCM na viongozi! Unajua wangekuwa wamaplan wazungu it could be even harder to know who are the culprits, lakini sisi waTanzania sio wanafiki, Dola wameona hata aibu ku attend kwenye msiba, wamebaki ku comment kwenye uhuru shame on them!

Shame on them, bikukalasya!
 
Back
Top Bottom