Mtandao wa ulipuaji mabomu Arusha wabainika!!

Mtandao wa ulipuaji mabomu Arusha wabainika!!

Watanzania hawahitaji porojo, wanahitaji kuambiwa ukweli kuwa fulani na fulani ndio waliolipua mabomu,

Bahati mbaya kwenu nikuwa hamuwezi kuwadanganya kwakuwa Wanaarusha waliona kwamacho yao mlipuaji na wapigaji risasi kuwa ni POLISI wa Tanzania,

Huwezi kuwadanganya wakati wameona na wamepigwa risasi kisa wameona, huwezi kuwadanganya kwakuwa wameona ndugu zao wakiuliwa live,

Ukitaka kudanganya nenda kaidanganye familia yako lakini naamini nayo itakukataa tu!
Ni kweli Watanzania hawahitaji polojo na UWONGO ambapo UWONGO wako pia ulichukua muda mrefu kugundulika kwa sababu ya kutumia jina linalofanana na jina la Mwl. Nyerere huku ukijinasibisha kama wewe ni MTOTO wa Mwl. Nyerere wakati huna mahusiano yoyote yale kifamilia au kindugu na Mwl. Nyerere achilia mbali kuwa MTOTO wa Mwl. Nyerere.

Kama ulijua Watanzania hawapendi UWONGO, kwa nini uliendelea kuwadanganya kwa MUDA MREFU?. Bandiko lako hili limebeba sura zote za mtu ambaye ni HYPOCRITE.

Mtoto wa Mwl. Nyerere anayeenda kwa jina la Andrew Nyerere alipouvalia njuga UWONGO wako ukajikuta huna jinsi nyingine ya kuendelea kuudanganya UMMA wa JF kama wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere na ukaja na STATEMENT baada ya Andrew Nyerere kuanza uchunguzi,

Nipo Butiama sasa hivi. Naulizia kuhusu huyu Yericko,lakini bado sijampata mtu anayemfahamu. Bado naendelea kuulizia. Nimemtuma mtu afanye uchunguzi.

Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu. Butiku amesema,watu wanajipa majina wanavyopenda; Adam Marwa ana mtoto wake mmoja tu,anaitwa Lumumba. Mimi[Butiku],mtoto wangu anaitwa Kaunda. Magige Nyerere ana mtoto anaitwa Moringe. Halafu Mama Maria akasema,Rose Nyerere ana mtoto anaitwa Luis Rwagasore,Mfalem wa Rwanda.
Kwa hiyo Butiku amesema huyu kijana kama angekuwa na namba ya simu,ningeweza kumtafuta,ili aweze kujieleza. Kwa hiyo nimempa Butiku namba ya simu ya Yericko Nyerere.


Niwashukuru sana uongozi wa JF hasa Mods kwa kuusimamia mjadala huu kwa weledi wa hali ya juu sana! Hii ni heshima kubwa sana kwa JF na Tanzania kwa ujumla!
Mwisho,

Wale mliotaka kunifahamu mimii ni nani hasa? Ninawajibu rasmi!

Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere

Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.

Kabila: Ni Mhehe,

Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere, (marehemu)

Mama yangu: Venancia Geremias Mgimwa,

Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College China (BITC)

Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD yanayojishughulisha na Ujenzi wa Majengo, Ujenzi wa Mabarabara, Umeme, Teknohama, Uwakala wa Usafirishaji, Uwekezaji katika Majengo, na Usanifu na Ukadiriaji Majenzi

Kuishi: Kigamboni Mbutu,

Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang

NB:
Mimi sina UNDUGU na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini chimbuko la Babu yake na Babu yangu Mzee Msambila Kihulo Lihangawike Nyerere "inasemekana" alikuwa ni wa kaskazini mwa Tanzania!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-tanganyika-na-zanzibar-224.html#post6630081
Watoto wengi wa Mwl. Nyerere hata sura kidogo wanafanana na baba yao, hii ya kwako hata hukuona aibu kama watu wangeilinganisha na sura ya Mwl. Nyerere.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    58 KB · Views: 401
  • image.jpg
    image.jpg
    35.7 KB · Views: 399
Wale wenye DVR zao kama zilivyokuwa zikitamba kuwa ni polisi walihusika ni bora wakashirikiana na kuyaweka hadharani sasa ili watuhumiwa wapelekwe kwa pilato.
Mkuu kwa michango yako hapa halafu unakejeli unastahili kutunikiwa shahada ya UPINDA.
 
Watoto wengi wa Mwl. Nyerere hata sura kidogo wanafanana na baba yao, hii ya kwako hata hukuona aibu kama watu wangeilinganisha na sura ya Mwl. Nyerere.

Personal attach is an indicator of Lumumba breed who have graduated in PINDA philosophy.
 
Masopakyindi hapo tuu ndipo tunapotofautiana, cant you connect the dots au sisi tuliosoma zamani mambo hayo nhatukuwa nayo? Evidence ni, 1. Chairman Kasema poleni CHADEMA, 2. Katibu mwenezi anasema ni CHADEMA, 3. Katibu msaidizi anasema ni mataifa ya nje kwa kuwa wana wivu wa raslimali zetu!

try connect the dots, kukosya i soni nkamu, baghogi abo! Angalia similar incidence ya Ulimboka, double standards, same occurrence and contradictions among the leaders, like for instance, how the President and his subordinates mismatched their comments! , we don't have a smart TISS!

We know what they are doing for, some of us are even smarter than the TISS! Ukitaka kujua angalia bomu limerushwa pamoja na kuwa mkutano ulikuwa wa CDM lakini kama dola isingekuwa na mkono, ungeona uhusika wa dola katika tukio zima kwa kupitia Bunge, CCM na viongozi! Unajua wangekuwa wamaplan wazungu it could be even harder to know who are the culprits, lakini sisi waTanzania sio wanafiki, Dola wameona hata aibu ku attend kwenye msiba, wamebaki ku comment kwenye uhuru shame on them!

Kikolo connecting the dots is one thing na reality is another!
Sasa malafyale ili ukweli upatikane uwatafadhalishe hao wana kyandima wenzako wautoe hadharani mkanda wao ili mbivu na mbichi zijulikane.
Masuala mengine unayoongelea ni sentiments ambazo kila binadamu anazo lakini sentiments zikizidi hata ukweli mtu huwezi kuuona vizuri. Na bahati mbaya nyie watu wa sehemu unayotoka mnayo hiyo kwa wingi sana.

Sasa basi je ni wewe tu hujui kuwa hata Mwangosi alitonywa juu ya plot ya kule Nyololo, lakini alikaidi?
Sina haja ya kuongea juu ya Ulimboka maana aliingia ndani ya tundu la nyoka akiwa macho wazi.
La kuhuzunisha ni hili la Kibanda, ambalo najua wajua kwamba nani wanahisiwa.
Sasa ndugu yangu ujiulize nani wa kuhurumiwa!!
 
Tunachohitaji ni wahusika kuwetiwa mbaroni...hizi ngonjera za mazungumzo kabla ya habari hazisaidii chochote
 
Ni kweli Watanzania hawahitaji polojo na UWONGO ambapo UWONGO wako pia ulichukua muda mrefu kugundulika kwa sababu ya kutumia jina linalofanana na jina la Mwl. Nyerere huku ukijinasibisha kama wewe ni MTOTO wa Mwl. Nyerere wakati huna mahusiano yoyote yale kifamilia au kindugu na Mwl. Nyerere achilia mbali kuwa MTOTO wa Mwl. Nyerere.

Kama ulijua Watanzania hawapendi UWONGO, kwa nini uliendelea kuwadanganya kwa MUDA MREFU?. Bandiko lako hili limebeba sura zote za mtu ambaye ni HYPOCRITE.

Mtoto wa Mwl. Nyerere anayeenda kwa jina la Andrew Nyerere alipouvalia njuga UWONGO wako ukajikuta huna jinsi nyingine ya kuendelea kuudanganya UMMA wa JF kama wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere na ukaja na STATEMENT baada ya Andrew Nyerere kuanza uchunguzi,







Watoto wengi wa Mwl. Nyerere hata sura kidogo wanafanana na baba yao, hii ya kwako hata hukuona aibu kama watu wangeilinganisha na sura ya Mwl. Nyerere.
He! Sikuwa nafahamu kutumia au kumpa mtoto jina la Nyerere ni dhambi kubwa kiasi hicho!
Binafsi sijapata kusoma popote kijana huyu Yeriko Nyerere akijinadi ni wa kutoka familia ya Hayati Mwl. Nyerere kwa hiyo sioni shida yoyote kwake au yeyote yule kuitwa au kumpa jina mwanae la Nyerere na naamini hata Nyerere mwenyewe asingemkataza mtu kumpa mtoto jina lake!
Familia ya Nyerere isiwe overprotective kwa jina hilo kwani kwa umaarufu, uadilifu na msimamo wake na huu mchakato wa utakatifu watazaliwa "Nyerere" wengi tu hapa nchini na
penginepo duniani! Sijui watakwenda Mahakamani kuwazuia?
 
Back
Top Bottom