Me nshaichoka,imebaki ya mawasiliano tu.Kwa maana siku hizi sinunui MB mda unaisha na sijazifaidi nzito mno,labda line za vyuo japo kwa tabu.wawe makini basi,wanatutesa.
Eti za vyuo,saa na wenye line za Kawaida ndo tuteseke hivi kweli ππππππ