Mtandao wa vodacom una shida au

Mtandao wa vodacom una shida au

Nimehamisha hela Jana kutoka Mpesa kwenda benki mpaka Sasa si meseji Wala hela imefika huko ,ukipiga kwenye namba yao ya 100 inakata yenyewe ,WhatsApp wanadai wanashughylikia tatizo ,hakika nimejuta
 
Nimehamisha hela Jana kutoka Mpesa kwenda benki mpaka Sasa si meseji Wala hela imefika huko ,ukipiga kwenye namba yao ya 100 inakata yenyewe ,WhatsApp wanadai wanashughylikia tatizo ,hakika nimejuta
Hela yenyewe unakuta ni laki moja si ungekaa nayo kwa wallet mkuu
 
Back
Top Bottom