Nimehamisha hela Jana kutoka Mpesa kwenda benki mpaka Sasa si meseji Wala hela imefika huko ,ukipiga kwenye namba yao ya 100 inakata yenyewe ,WhatsApp wanadai wanashughylikia tatizo ,hakika nimejuta
Nimehamisha hela Jana kutoka Mpesa kwenda benki mpaka Sasa si meseji Wala hela imefika huko ,ukipiga kwenye namba yao ya 100 inakata yenyewe ,WhatsApp wanadai wanashughylikia tatizo ,hakika nimejuta