Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,040
- 2,674
Kwa siku za hivi karibuni mtandao wa Vodacom umekuwa ukisumbua sana Hali ambayo imepelekea usumbufu mkubwa sana kwa watumiaji wa mtandao huu.
Kumekuwa na Hali ya kukatika kwa network au kushindwa kufanya miamala ya kifedha jambo ambalo limekuwa likijirudia rudia na kuzua sintofahamu Kubwa kwa watumiaji.
Ikumbukwe kuwa mtandao huu umekuwepo nchini kwa miongo miwili Sasa na hivyo kujizolea watumiaji lukuki...
Lakini changamoto hii iliyoanza kujitokeza itasababisha watumiaji kuanza kuwakimbia...
Nitoe Rai kwa Menejimenti ya Vodacom na timu Yao ya Ufundi wajitafakari sana.
Wachukue hatua muhimu ili kuondoa changamoto hii kwa mtandao huu pendwa ambao umetumika kwa muda mrefu nchini Sasa.
Kumekuwa na Hali ya kukatika kwa network au kushindwa kufanya miamala ya kifedha jambo ambalo limekuwa likijirudia rudia na kuzua sintofahamu Kubwa kwa watumiaji.
Ikumbukwe kuwa mtandao huu umekuwepo nchini kwa miongo miwili Sasa na hivyo kujizolea watumiaji lukuki...
Lakini changamoto hii iliyoanza kujitokeza itasababisha watumiaji kuanza kuwakimbia...
Nitoe Rai kwa Menejimenti ya Vodacom na timu Yao ya Ufundi wajitafakari sana.
Wachukue hatua muhimu ili kuondoa changamoto hii kwa mtandao huu pendwa ambao umetumika kwa muda mrefu nchini Sasa.