Mtandao wa Vodacom wajitafakari

Mtandao wa Vodacom wajitafakari

Kuna siku nilikula msosi sehemu wakanipa lipa namba ya Mpesa nilipe, aisee kwenye Airtel yangu nimekatwa, kwenye Mpesa yao haijafika kuna tatizo.., aisee, kidogo niaibike, na sikuwa na cash kabisa.., pesa imekuja kurudi kwangu baada ya wiki…, ikabidi niende kwenye ule mgahawa kuirudisha..
Week iliyopita nilipanda bus sasa nikawa na cash kidogo na muda wa kutoa pesa nikawa Sina na gari ndio inataka kuondoka nikaingia hivyo hivyo wakasema utalipa kwa lipa namba ukiwa ndani ya gari Yani nilitaka kushushwa mpesa ilikua inasumbua kila wakati halafu ndio ilikua gari ya mwisho usiku huo na nilikua Nina dharura
 
Back
Top Bottom