Mimi ni wakala wa voda na mitandao mingine pia kwa kutuma na kutoa hela
Leo nipo ofisini kuangalia kamisheni yangu nikakuta zaidi ya 50 elfu imekatwa
Moja kwa moja nikawasiliana na huduma kwa wateja kitengo cha mawakala nikawaambia mbona mmepunguza kamisheni yangu. Wakaniambia wasiliana na kiongozi wako wa kanda (Tdr)
Tdr kuwasiliana naye ananiambia umekuwa unafanya miamala ya kutuma (kutoa)pesa kwa wakala mkuu, lakini miamala ya wakala mkuu kukutumia wewe pesa kweny code yako ya wakala ni michache
Na mimi huwa nafanya miamala ya kutoa hela kwa wakala mkuu ili anitumie kwenye mitandao mingine (Froat exchange).
Sasa nikajiuliza mbona huu kawa wizi vile kwani hakuna sms au notification niliyopewa kuwa salio lako limepunguzwa kwa sababu ya kosa fulani na hakuna elimu yoyote niliyowahi pokea kutoka VODACOM kwenye suala hilo Mitandao mingine haijawahii kunianyia kitu ya aina hii
Wale wenye uzoefu wa mambo haya naweza kufanyaje kupata msaada wa kurudishiwa hela yangu.
Au kwa upande wa sheria za mitandao suala hili likoje?
Leo nipo ofisini kuangalia kamisheni yangu nikakuta zaidi ya 50 elfu imekatwa
Moja kwa moja nikawasiliana na huduma kwa wateja kitengo cha mawakala nikawaambia mbona mmepunguza kamisheni yangu. Wakaniambia wasiliana na kiongozi wako wa kanda (Tdr)
Tdr kuwasiliana naye ananiambia umekuwa unafanya miamala ya kutuma (kutoa)pesa kwa wakala mkuu, lakini miamala ya wakala mkuu kukutumia wewe pesa kweny code yako ya wakala ni michache
Na mimi huwa nafanya miamala ya kutoa hela kwa wakala mkuu ili anitumie kwenye mitandao mingine (Froat exchange).
Sasa nikajiuliza mbona huu kawa wizi vile kwani hakuna sms au notification niliyopewa kuwa salio lako limepunguzwa kwa sababu ya kosa fulani na hakuna elimu yoyote niliyowahi pokea kutoka VODACOM kwenye suala hilo Mitandao mingine haijawahii kunianyia kitu ya aina hii
Wale wenye uzoefu wa mambo haya naweza kufanyaje kupata msaada wa kurudishiwa hela yangu.
Au kwa upande wa sheria za mitandao suala hili likoje?