Mtanganyika anayempinga Lissu kwenye hoja za muungano ana matatizo

Lissu ninatofautiana Naye mengi ila kwenye suala la muungano tunashea roho
 
Tumelogwa siyo bure. Na bado vijamaa vinataka ajira 50/50 kwenye Wizara za Muungano. Eti BOT ni yao, wamejipata sana tukae chonjo
Kwanza ni muungano gani wa kulazimisha a, kuna huu uchafu unaitwa mwenge na muungano sitaki kabisa maccm yanalazimisha Mambo ya kijingajinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…