Mtanganyika wa kwanza kuhutubia UN

kuna mmeru mmoja kama sikosei alienda kuomba Uhuru wa meru land umoja wa mataifa wakasema hawaitambui hiyo nchi wanaijua tanganyika
 
Ni justin kirilo wa meru alienda kudai ardhi walizopora masetla wa kizungu
 
Utajichosha bure, huwa hasikii.
 
Marytina tuheshimiane, mimi sifanyi siasa bali nafanya utafiti. Na huwezi kupingana na historia. Utapata wapi siasa leo usipoanzia jana. Ignorance of history made man to repeat same mistakes.
Sasa huo utafiti wako mkuu ndio utwambie nani alihutubia UN kama mtanzania wa kwanza juu ya nini povu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…