Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Nianze kwa kusema nina mashaka na Uzi huu kuondolewa kwani kuna hisia kuwa kwa sasa Mhariri (mod) wa jukwaa la siasa JF anafanyia Nazi zake Lumumba. Hivyo chochote wasichokipenda wao hapo basi kitaondolewa au kwenda kuchomekwa hata jukwaa la "utabiri wa hali ya hewa"
Hoja ya msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa Magufuli kwa sasa ni mtangaza nia na anasubiri maamuzi ya wenye chama (wanachama) wampitishe kuwa mgombea.
Hata kama kafanya alivyoweza kufanya kuhakikisha fomu za JMT inatolewa fomu moja tuu, jee mamlaka ya kuwa msemaji wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar hadi kutoa maonyo kayatoa wapi?
Zanzibar ni nchi na anayechaguliwa sio mkuu wa mkoa Bali Rais anayepigiwa naye mizinga kama yeye tuu kwa nini awaonye wachukua fomu kuwa ni wengi?
Hoja ya msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa Magufuli kwa sasa ni mtangaza nia na anasubiri maamuzi ya wenye chama (wanachama) wampitishe kuwa mgombea.
Hata kama kafanya alivyoweza kufanya kuhakikisha fomu za JMT inatolewa fomu moja tuu, jee mamlaka ya kuwa msemaji wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar hadi kutoa maonyo kayatoa wapi?
Zanzibar ni nchi na anayechaguliwa sio mkuu wa mkoa Bali Rais anayepigiwa naye mizinga kama yeye tuu kwa nini awaonye wachukua fomu kuwa ni wengi?