Uchaguzi 2020 Mtangaza nia Bara anapata wapi mamlaka kuwaonya watangaza nia Zanzibar?

Uchaguzi 2020 Mtangaza nia Bara anapata wapi mamlaka kuwaonya watangaza nia Zanzibar?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Nianze kwa kusema nina mashaka na Uzi huu kuondolewa kwani kuna hisia kuwa kwa sasa Mhariri (mod) wa jukwaa la siasa JF anafanyia Nazi zake Lumumba. Hivyo chochote wasichokipenda wao hapo basi kitaondolewa au kwenda kuchomekwa hata jukwaa la "utabiri wa hali ya hewa"

Hoja ya msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa Magufuli kwa sasa ni mtangaza nia na anasubiri maamuzi ya wenye chama (wanachama) wampitishe kuwa mgombea.

Hata kama kafanya alivyoweza kufanya kuhakikisha fomu za JMT inatolewa fomu moja tuu, jee mamlaka ya kuwa msemaji wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar hadi kutoa maonyo kayatoa wapi?

Zanzibar ni nchi na anayechaguliwa sio mkuu wa mkoa Bali Rais anayepigiwa naye mizinga kama yeye tuu kwa nini awaonye wachukua fomu kuwa ni wengi?

 
Kumbuka hata rais wa nchi ya Zanzibar hua wanamchagua 'wenye nchi' pale Dodoma.
 
Nianze kwa kusema nina mashaka na Uzi huu kuondolewa kwani kuna hisia kuwa kwa sasa Mhariri (mod) wa jukwaa la siasa JF anafanyia Nazi zake Lumumba. Hivyo chochote wasichokipenda wao hapo basi kitaondolewa au kwenda kuchomekwa hata jukwaa la "utabiri wa hali ya hewa"

Hoja ya msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa Magufuli kwa sasa ni mtangaza nia na anasubiri maamuzi ya wenye chama (wanachama) wampitishe kuwa mgombea.

Hata kama kafanya alivyoweza kufanya kuhakikisha fomu za JMT inatolewa fomu moja tuu, jee mamlaka ya kuwa msemaji wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar hadi kutoa maonyo kayatoa wapi?

Zanzibar ni nchi na anayechaguliwa sio mkuu wa mkoa Bali Rais anayepigiwa naye mizinga kama yeye tuu kwa nini awaonye wachukua fomu kuwa ni wengi?


Mtu anaingilia mambo ya nchi nyingine si mnaona udikteta huo mnaambiwa kila siku? Zanzibar wana ustaarabu wao na uhuru wao hivyo wasiingiliwe na waachwe wafanye demokrasia. Bara demokrasia imepokwa na mtu mmoja na kuna mazuzu yanashangilia.
 
Nianze kwa kusema nina mashaka na Uzi huu kuondolewa kwani kuna hisia kuwa kwa sasa Mhariri (mod) wa jukwaa la siasa JF anafanyia Nazi zake Lumumba. Hivyo chochote wasichokipenda wao hapo basi kitaondolewa au kwenda kuchomekwa hata jukwaa la "utabiri wa hali ya hewa"

Hoja ya msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa Magufuli kwa sasa ni mtangaza nia na anasubiri maamuzi ya wenye chama (wanachama) wampitishe kuwa mgombea.

Hata kama kafanya alivyoweza kufanya kuhakikisha fomu za JMT inatolewa fomu moja tuu, jee mamlaka ya kuwa msemaji wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar hadi kutoa maonyo kayatoa wapi?

Zanzibar ni nchi na anayechaguliwa sio mkuu wa mkoa Bali Rais anayepigiwa naye mizinga kama yeye tuu kwa nini awaonye wachukua fomu kuwa ni wengi?


Wewe mwenyewe unapata wapi mamlaka ya kumkosoa?
 
Mwenye chama ndiye huyo mtangaza nia,chama chenyewe kilisha polwa,waanziishi wa hicho chama wanalia machozi ya mamba ,walishachelewa.
 
Back
Top Bottom