Mtangazaji Abdul Mohamed ndani ya Clouds FM 'Sports Extra'

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Karibu sana Abdul Mohamed mjengoni Clouds FM na nakumbuka sana jinsi Mtangazaji mmoja ambaye sasa amehamia E FM alivyokuwa anakuchukia na kukubania hadi ukapata Shavu BBC London na yeye likamshuka.

Na najua umekubali kurudi tena mjengoni Clouds FM kwakuwa mbaya wako IM hayupo tena. Nakukubali mno Kijana na naamini kuwa sasa Kipindi cha Michezo cha Sports Extra kitabamba zaidi hasa kwa patnership yako na Nguli Alex Luambano.

Karibu tena Tanzania na tulikumisi.
 
kumbe mleta mada ni wewe la brujita.basi sawa.
 
Naona una masikhara wewe...

Yaani Abdul Mohamed unamuona ni mtangazaji/mchambuzi mzuri wa michezo!!

Abdul na Masoud wakati huo ndio waliokuwa vilaza kila kitu hawajui na hata vingine walikuwa wakivitaja kwa kuvichanganya...
 
Ina maana kaacha BBC au mkataba wake umekwisha.
 
Yaani katoka BBC London kaja mawingu Dar es salaam!!!!! hahahaha amakweli BBC hawataki vilaza.
 
Yaani katoka BBC London kaja mawingu Dar es salaam!!!!! hahahaha amakweli BBC hawataki vilaza.

Hata mimi nimestaajabu hapa, otherwise awe amefukuzwa au makataba umeisha au ameahidiwa kureplace nafasi ya Ruge
 
yule Geofrey/Joffrey Lea/Leya alipotelea wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…