Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Akizungumza kwa ' huruma ' kabisa huku akikaribia ' kulia ' Mtangazaji ' maarufu ' wa Clouds fm Adam Mchomvu wakati akitoa salamu zake za mwaka wa kuzaliwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amesema kuwa kiukweli mwaka jana hakuwa mmoja wa Watu waliompigia Kura ya Urais na kwamba Kura yake alimpa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa.

Mtangazaji huyo hakuishia tu hapo akaenda mbele na kusema kuwa ' anajuta ' ni kwanini hakumpigia Kura Rais Magufuli na kwamba anahisi pengine ' alirogwa ' na nguvu ya safari ya matumaini ambayo kimsingi imeshia tu katika ' kugoma ' na ' kuandamana '.

Mwisho kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu akasema kuwa kwa Kipindi hiki tu cha mwaka mmoja ameona mambo makubwa ambayo ana uhakika kabisa kuwa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Lowassa asingethubutu na hata kuweza kufanya hasa kutokana rekodi yake ya ' wasiwasi ' dhidi ya rasilimali za nchi alizonazo.

Kama kawaida yake Mtangazaji Adam Mchomvu huwa hana ' Unafiki ' na akamalizia tu kwa kuwataka Watanzania wote wamuunge mkono Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwani alichokifanya tu kwa mwaka huu mmoja ni kikubwa na kwamba miaka minne ijayo Magufuli ataifikisha Tanzania kule inakotakiwa kufika hasa Kimaendeleo.

Binafsi kama GENTAMYCINE nichukuwe fursa hii kumpongeza kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu kwanza kwa kuwa ' muwazi ' na ' mkweli ' na pia kuweza kumpongeza Mheshimiwa Rais kwa Uongozi wake lakini na Watu wengine hasa wale Wana UKAWA hasa CHADEMA nanyi pia igeni hii busara na hekima aliyoionyesha mwenzenu mwana CHADEMA ' kindakindaki ' Adam Mchomvu na nyie mkubali ' Kazi ' za Rais wetu na ikiwezekana si vibaya hata mkizichana chana tu hizo Kadi zenu za CHADEMA na mrejee rasmi CCM kwani CCM ya sasa chini ya Rais Dkt. Magufuli ' imetakata ' na ' mwendo mdundo '.

Happy Birthday Rais wangu Mpendwa na Mkombozi wa Watanzania ' wanyonge ' na ' fimbo ' ya ' mafisadi ' na ' wavivu ' Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu, akulinde, akubariki na akupe afya njema.

Akhsante Adam Mchomvu kwa ' kuthubutu '.
 
Hivi ana cheti cha taaluma ya utangazaji?

Yeye kuwa au kutokuwa na Cheti au Taaluma ya Utangazaji kunahusiana nini na kusema ukweli wake na kuthubutu juu ya Uongozi madhubuti kabisa wa JPM? Acha ' wivu ' Mkuu na ni vyema hata Wewe sasa ukafikiria kurudi CCM kwetu huku kwani hakika CCM ya sasa ya Rais Magufuli ' imetakata ' na ' mwendo mdundo '.
 
Msaada nitapata wapi copy ya hili gazeti!

images
 
Akizungumza kwa ' huruma ' kabisa huku akikaribia ' kulia ' Mtangazaji ' maarufu ' wa Clouds fm Adam Mchomvu wakati akitoa salamu zake za mwaka wa kuzaliwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amesema kuwa kiukweli mwaka jana hakuwa mmoja wa Watu waliompigia Kura ya Urais na kwamba Kura yake alimpa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa.

Mtangazaji huyo hakuishia tu hapo akaenda mbele na kusema kuwa ' anajuta ' ni kwanini hakumpigia Kura Rais Magufuli na kwamba anahisi pengine ' alirogwa ' na nguvu ya safari ya matumaini ambayo kimsingi imeshia tu katika ' kugoma ' na ' kuandamana '.

Mwisho kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu akasema kuwa kwa Kipindi hiki tu cha mwaka mmoja ameona mambo makubwa ambayo ana uhakika kabisa kuwa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Lowassa asingethubutu na hata kuweza kufanya hasa kutokana rekodi yake ya ' wasiwasi ' dhidi ya rasilimali za nchi alizonazo.

Kama kawaida yake Mtangazaji Adam Mchomvu huwa hana ' Unafiki ' na akamalizia tu kwa kuwataka Watanzania wote wamuunge mkono Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwani alichokifanya tu kwa mwaka huu mmoja ni kikubwa na kwamba miaka minne ijayo Magufuli ataifikisha Tanzania kule inakotakiwa kufika hasa Kimaendeleo.

Binafsi kama GENTAMYCINE nichukuwe fursa hii kumpongeza kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu kwanza kwa kuwa ' muwazi ' na ' mkweli ' na pia kuweza kumpongeza Mheshimiwa Rais kwa Uongozi wake lakini na Watu wengine hasa wale Wana UKAWA hasa CHADEMA nanyi pia igeni hii busara na hekima aliyoionyesha mwenzenu mwana CHADEMA ' kindakindaki ' Adam Mchomvu na nyie mkubali ' Kazi ' za Rais wetu na ikiwezekana si vibaya hata mkizichana chana tu hizo Kadi zenu za CHADEMA na mrejee rasmi CCM kwani CCM ya sasa chini ya Rais Dkt. Magufuli ' imetakata ' na ' mwendo mdundo '.

Happy Birthday Rais wangu Mpendwa na Mkombozi wa Watanzania ' wanyonge ' na ' fimbo ' ya ' mafisadi ' na ' wavivu ' Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu, akulinde, akubariki na akupe afya njema.

Akhsante Adam Mchomvu kwa ' kuthubutu '.
Njaa mbaya jamani!
Acha kujipendekeza kwa mwanaume mwenzie
Niseme tu kutojitambua nao ni wendawazimu.
 
Anajua nini huyu....?

Ila angalau kajitambua na kuthubutu kusema ukweli na sasa mtabaki nyie tu ' mangumbaru ' msiojitambua. Hivi next strategy yenu CHADEMA ni ipi kwani naona zote kila mkizianzisha tu zinazimwa ' ghafla ' na ' utendaji ' wa ' kutukuka ' wa MWANAMUME Rais Dkt. Magufuli.
 
Yeye kuwa au kutokuwa na Cheti au Taaluma ya Utangazaji kunahusiana nini na kusema ukweli wake na kuthubutu juu ya Uongozi madhubuti kabisa wa JPM? Acha ' wivu ' Mkuu na ni vyema hata Wewe sasa ukafikiria kurudi CCM kwetu huku kwani hakika CCM ya sasa ya Rais Magufuli ' imetakata ' na ' mwendo mdundo '.
Hapana mkuu,Magu amenifanya niwe neutral katika siasa za vyama..mpaka nione mafanikio yake,
 
Akiambiwa alete ushahidi kuwa hakumpigia kura ataweza kweli kufanya hivyo?

Sura yake ya ' huzuni ' aliyokuwa nayo wakati anasema huo ukweli wake ulitosha tu kuwa ' ushahidi ' kamili kuwa amejutia kitendo cha kutompigia ' kura ' Rais Dkt. Magufuli mwaka jana. Je ulikuwa unataka ushahidi gani tena? Hivi na Wewe nikikuambia kuwa leta ' Ushahidi ' hapa kama ni kweli Mgombea wenu Edward Lowassa alijipigia ' kura ' mwenyewe unaweza kuuleta? Kwani kuna ' tetesi ' au za chini ya ' kapeti ' pia kuwa Lowassa japo alikuwa anautaka Urais ila kwa Mapenzi na Imani yake kwa Magufuli alimpigia ' Kura ' badala ya kujipigia yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom