HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Kwahiyo kampeni ndo zinaanza tena au? Kwani angempongeza tu bila hayo mengine Ujumbe usinge fika? Yeye nani kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kitu cha arusha na kirobaNae anataka nafasi ya ukurugenzi pale kibololoni..ukiingia studio mmea umekolea unakuwa kituko sana
hiyo ni sarcasm
Mmh ameomba lini huo msamaha? Mi mdau wa xxl sana tu cjawah isikia hii au hakusema redion?Akizungumza kwa ' huruma ' kabisa huku akikaribia ' kulia ' Mtangazaji ' maarufu ' wa Clouds fm Adam Mchomvu wakati akitoa salamu zake za mwaka wa kuzaliwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amesema kuwa kiukweli mwaka jana hakuwa mmoja wa Watu waliompigia Kura ya Urais na kwamba Kura yake alimpa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa.
Mtangazaji huyo hakuishia tu hapo akaenda mbele na kusema kuwa ' anajuta ' ni kwanini hakumpigia Kura Rais Magufuli na kwamba anahisi pengine ' alirogwa ' na nguvu ya safari ya matumaini ambayo kimsingi imeshia tu katika ' kugoma ' na ' kuandamana '.
Mwisho kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu akasema kuwa kwa Kipindi hiki tu cha mwaka mmoja ameona mambo makubwa ambayo ana uhakika kabisa kuwa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Lowassa asingethubutu na hata kuweza kufanya hasa kutokana rekodi yake ya ' wasiwasi ' dhidi ya rasilimali za nchi alizonazo.
Kama kawaida yake Mtangazaji Adam Mchomvu huwa hana ' Unafiki ' na akamalizia tu kwa kuwataka Watanzania wote wamuunge mkono Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwani alichokifanya tu kwa mwaka huu mmoja ni kikubwa na kwamba miaka minne ijayo Magufuli ataifikisha Tanzania kule inakotakiwa kufika hasa Kimaendeleo.
Binafsi kama GENTAMYCINE nichukuwe fursa hii kumpongeza kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu kwanza kwa kuwa ' muwazi ' na ' mkweli ' na pia kuweza kumpongeza Mheshimiwa Rais kwa Uongozi wake lakini na Watu wengine hasa wale Wana UKAWA hasa CHADEMA nanyi pia igeni hii busara na hekima aliyoionyesha mwenzenu mwana CHADEMA ' kindakindaki ' Adam Mchomvu na nyie mkubali ' Kazi ' za Rais wetu na ikiwezekana si vibaya hata mkizichana chana tu hizo Kadi zenu za CHADEMA na mrejee rasmi CCM kwani CCM ya sasa chini ya Rais Dkt. Magufuli ' imetakata ' na ' mwendo mdundo '.
Happy Birthday Rais wangu Mpendwa na Mkombozi wa Watanzania ' wanyonge ' na ' fimbo ' ya ' mafisadi ' na ' wavivu ' Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu, akulinde, akubariki na akupe afya njema.
Akhsante Adam Mchomvu kwa ' kuthubutu '.
mmh me bado sielewi nasubiria kidogoDada yangu Kipenzi humu JF vipi na Wewe mwaka jana ' ulipotoka ' kama Adam Mchomvu? Hebu ' funguka ' tafadhali na kuwa ' muwazi '. Nasubiri jibu lako Dada yangu Kipenzi!
Kwahiyo kampeni ndo zinaanza tena au? Kwani angempongeza tu bila hayo mengine Ujumbe usinge fika? Yeye nani kwani
Mmh ameomba lini huo msamaha? Mi mdau wa xxl sana tu cjawah isikia hii au hakusema redion?
Ndo tujiulize hao waliompigia kura wako wapi?
huyo dogo nasikia ana 'mdudu' kitambo. Viemeanza kuchanganya ndo mda wake...poleni mabinti mnaokwenda nae stereo....
kwani yeye nani mpaka atuambie
kejeli flani hivi...anachokisema anamaanish vice versaWengine ' ingilishi ' izi noti richabo Mkuu je unaweza ukatutafsiria hapo ili tuweze kukuelewa? Nitashukuru.